Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,860
Ni msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa mpaka anapoteza ufahamu.
Anajikojolea popote na hachagui neno. Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?
Anajikojolea popote na hachagui neno. Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?