GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,505
Kumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa mimba (kibendi) kati yetu atamjua tu na hatokosea?
Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.
Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.