figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Habari,
Mwanake anayekupenda, si rahisi kukupa mali yake uichakate.
Anakuweka bench, sababu anajua utamchakata maisha yake yote. Ukikata tamaa utamkosa. Anakuweka kwenye vipimo vya kila aina hadi kubusiana na wanaume wenzako mbele yake. Ukikata tamaa ndo basi.
Unashangaa anakuja jamaa na hela zake anachakata baada ya siku moja. Wanawake wanajua anaye wapenda na asiye wapenda. Unakuta ana shida zake za kodi na chupi za kuvaa, anaamua amkubali mwenye hela ili ajinasue kwenye matatizo yanayomsibu na kujijengea jina kwa marafiki wamuona ana mtu wa maana. Ndo maana hata akichwa hababaiki.
Mwanamke ukiensa na hela anazila na unachakata, mwisho wa siku anaolewa na mtu wa kawaida.
Mwanaume ukiwa mwanamke mzuri anakupa itakacho mwisho wa siku anaoa Polygon. Mara nyingi wanawake wanaojifanya wazuri, tunawafanya nyumba ndogo nani awaoe. Ukiwa Mgumu tunakuvalisha pete, tunakuzalisha, tunakifanya nyumba ndogo then tunakata mawasiliano kodi ikiisha. Utashinda kwa Mwamposa na kuhama makanisa na misikiti.
Kila ukilewa utakuwa unasema wanaume wote ni mbwa🤣🤣🤣
Mwanake anayekupenda, si rahisi kukupa mali yake uichakate.
Anakuweka bench, sababu anajua utamchakata maisha yake yote. Ukikata tamaa utamkosa. Anakuweka kwenye vipimo vya kila aina hadi kubusiana na wanaume wenzako mbele yake. Ukikata tamaa ndo basi.
Unashangaa anakuja jamaa na hela zake anachakata baada ya siku moja. Wanawake wanajua anaye wapenda na asiye wapenda. Unakuta ana shida zake za kodi na chupi za kuvaa, anaamua amkubali mwenye hela ili ajinasue kwenye matatizo yanayomsibu na kujijengea jina kwa marafiki wamuona ana mtu wa maana. Ndo maana hata akichwa hababaiki.
Mwanamke ukiensa na hela anazila na unachakata, mwisho wa siku anaolewa na mtu wa kawaida.
Mwanaume ukiwa mwanamke mzuri anakupa itakacho mwisho wa siku anaoa Polygon. Mara nyingi wanawake wanaojifanya wazuri, tunawafanya nyumba ndogo nani awaoe. Ukiwa Mgumu tunakuvalisha pete, tunakuzalisha, tunakifanya nyumba ndogo then tunakata mawasiliano kodi ikiisha. Utashinda kwa Mwamposa na kuhama makanisa na misikiti.
Kila ukilewa utakuwa unasema wanaume wote ni mbwa🤣🤣🤣