Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
The Boss,kwa nini hautaki pengo ajishughulishe na hili swala,au hauelewi mahusiano yake ya kikazi na huyo padri aliyeuwawa? Na mbona sijawahi kukusoma ukipinga maelekezo ya viongozi wa serikali kuwaomba viongozi wa dini kuhakikisha amani na upendo vinadumu katika nchi yetu? Au hapa huwa hauoni kama wanaamishia majukumu yao kwa watu wasio husika?
Na mwisho,nje ya mada kidogo.mamlaka ya viongozi wa dini hayaishii kwa waumini wao pekee bali kwa jamii nzima,hasa ukizingatia wanawajibika kuhakikisha jamii nzima inafuata imani zao kutoka na ubora na ukweli wake kulinganisha na imani zingine.
Na mwisho,nje ya mada kidogo.mamlaka ya viongozi wa dini hayaishii kwa waumini wao pekee bali kwa jamii nzima,hasa ukizingatia wanawajibika kuhakikisha jamii nzima inafuata imani zao kutoka na ubora na ukweli wake kulinganisha na imani zingine.