Foum Jnr
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 272
- 132
Nianze kwanza katika hoja ya Mwanakijiji juu ya statement yake ya kumtaka Muheshimiwa Hamad kujiuzulu na kuwataka wale wazanzibari waliopo ndani ya bunge kuwacha nafasi zao ili kurudi kudai uhuru wao.
Katika Ministerial code of conduct, logic ya kuwa ndani ya goverment ni kukubaliana na kauli ya serikali au kujiondoa katika nafasi ikiwa unakwenda opposite na tamko la serikali. SMT na SMZ zote hazina kauli moja juu ya muungano na zimetoa uhuru wa kila mmoja kuchangia kwa namna anavyoamini mabadiliko yawe vipi katika katiba mpya. Kwa hili si Mheshimiwa Hamad wala mawaziri wengine waliokwenda kinyume na ministerial code of conduct inayowafanya kuachia nafasi zao. Serikali za coalition ziko nyingi sasa kutokana na result za uchaguzi ambapo majority ya kweli haipatikani, na kuungana kwa vyama kuunda serikali ya kitaifa haifuti maudhui ya vyama vyao bali ni kukaa na ku-comproise na kuangalia priority.
Natoa mfano wa stormont kule Northern Ireland ambapo Sin Fein na wale loyalist wameungana kuunda seriali ya umoja huku bado kila mmoja akilinda azimio kuu lake, angalia zaidi yule Martin Mcguines ambaye ni former commender wa IRA lakini yumo katika serikali ya sasa huku akijulikana kabisa kama ni republican anaeamini na kulenga maazimio ya united ireland against UK. Angalia pia serikali za namna hio kuanzia Israel, Ujarumani hata Uk ambapo tumeona watu wenye malengo tafauti kuungana na hata kutafautiana hadharani pale andapo agenda zao kuenda parallel. Kwa maoni yangu Mwanakijiji ni against serikali ya namna hii lakini hii ni haki yake ya kuamini na kuzungumzia kwa upeo wake anachokiamini sawa na haki ya wananchi wa asilimia 65% waliopiga kura ya yes vote kukubali mabadiliko ya katiba yaliotoa ruhusa hio na pia 49% ya kura ziliopigwa juu ya Mheshimiwa Hamad ambayo kiukweli ushindi wa chama chochote cha asilimia 51% hauwezwi kukubalishwa kama ndio majority ya kweli. Hivi Mheshimiwa Hamad yuko accountable kwa rai ya Mwanakijiji au kwa wananchi waliompigia kura? Kwa nini asimshauri Mheshimiwa Shein kuufuta uteuzi wake kwa kuenda kinyume nae?
Kuhusu wazanzibari walioko ndani ya bunge, njia moja ya wananchi wa kawaida wanaotaka kubadili upepo wa sera za nchi jambo la mwanzo linaloweza kufanikisha hilo ni kuingia katika vyombo vya kubadilisha sheria, mfano UKIP ni anti EU party, ambacho kinaongoza kwa popular vote katika EU elections UK na kikiwa na wabunge ambao lao kubwa ni kupeleka hoja yao ya anti EU, hebu mtafuteni Nogel Farage kiongozi mkuu wa UKIp na umsikilize kwa nini akiwa against EU lakini akawa ni member wa EU parliment? hizo ndizo taratibu za siasa za heshima. Katika dunia ya sasa ya kuwataka kuachana na siasa na kurudi kudai uhuru kwa njia za misituni hazina nafasi, upo uwezekana wa kubadili direction ya nchi kwa wapinzani kuwamo ndani ya chombo cha sheria kuliko ukiwa nje kupiga kelele barabarani. Lakini ni juu yake mwenyewe mwanna kijiji kutumia wabunge wake kupeleka hoja hio ya kuwaondoa wabunge wazanzibar katika bunge, naona ingelikuwa rahisi zaidi.
Tumalize kwenye suala la union ya mkataba na wale wanaouelezea kama kwamba ndio chanzo cha kuvunja muungano, kwanza na tujadili maudhui yaliomo ndani ya mabadiliko ya katiba ya zanzibar ya 2010 na tuwe wa kweli kama tungekuwa na mahakama ya katiba jee SMT na SMZ hawajakiuka katiba ya muungano? Hebu tuangalie ile statement ya Mheshimiwa Lisu bungeni juu ya mabadiliko yale na kutathmini alichokisema, utakuta hao walioapa kuilinda katiba ya muungano ndio hao hao walioadhimisha mabadiliko ya zanzibar ya 2010. Mheshimiwa Nahoda akiwa ndie waziri kiongozi Zanzibar, ambaye sasa ndie 'hero' wa muungano na tumuulize yeye akiwa kiongozi wa SMZ hakuona yale mabadiliko ya katiba yalipinga katiba ya muungano na in theory kuhatarisha kuvunja muungano huu anaoupigia debe? Je, watukufu wa nchi hii nao hawaku-initiate uvunjaji wa muungano kwa kuachia bila ya kukemea au kwa lugha nyengine kubariki mabadiliko yale yalioipa mamlaka rais wa zanzibar wa kubadili wakuu wa mikoa, border, na hata kuondoa mahakama ya rufaa tanzania katika ushiriki wake ndani ya zanzibar? Hivi badala ya kuwasakama hawa wanaotaka muungano wa mkataba kwa kisingizio cha kuvunja muungano kwa nini hamuanzi na hawa waliovunja kabisa maazimio ya katiba ya muungano na mukawaacha kuendelea kujigamba ati ndio waumini wa kweli wa muungano huku mukijuwa wazi ndio chanzo cha mkanganyiko wa katiba ya muungano? kwa nini tuwape CCM wachache license ya kutufanya tukubali kama huu ndio mfumo bora na kuwakandamiza wenye muamko wa maoni tafauti?
Tafauti gani ya muungano wa mkataba against katiba ikiwa katiba yenyewe imewezwa kuchezewa na kuvurugwa na sehemu moja tu kubadili maazimio makuu ya muungano? Ukweli mchungu nchi hizi hazijawahi kuwa moja, inakuwaje ikiwa ziko moja ikawa hata chombo kikuu cha sheria kama mahakama kuwa na limitation katika part moja ya nchi? au kukawa na mabunge mawili, rais wa wawili na mengi tu? Hivi tutacha lini kuhadaiwa na siasa za viongozi wa sasa hasa wa CCM wasioweza kutambua kama nchi hii ni moja au mbili? Inakuwaje kwa mfano wabunge wa Zanzibar kuchangia na kupigia kura maazimisho ya department zisizo za muungano au kuchanguliwa kushika nafasi kuu za wizara zisizo za muungano wakati ni vise verse kule visiwani?
Wenye kuupinga mfumo wa union of treaties waje na solid arguments zinazoonyesha kwamba huu wa katiba umeweza kuulinda muungano wa sasa hasa baada ya marekebisho ya katiba parallel ya Zanzibar ya 2010. Ninnaamini muungano ukivunjika usivunjike hatuwezi kuondosha ukweli wa historia ya miaka 48 ya kuwa wamoja, hichi kigugumizi cha muungano lazima kipatiwe ufafanuzi na ufumbuzi utakaopata nguvu ya wananchi wote ili mfumo ujao uwe na mandate ya wadau wakuu ie wananchi.
Tusikubali kuingizwa katika dimbwi la maji machafu kwa hadaa za kina AIR HEAD na CCM za kututia khofu zisizo na msingi. Tujiepushe na kauli za kuwatia chuki wananchi wa sehemu hizi mbili na kuwapa nafasi watukufu kuendelea na uhadaifu wao huku wakijifaidia nafasi kuu za muungano.
Katika Ministerial code of conduct, logic ya kuwa ndani ya goverment ni kukubaliana na kauli ya serikali au kujiondoa katika nafasi ikiwa unakwenda opposite na tamko la serikali. SMT na SMZ zote hazina kauli moja juu ya muungano na zimetoa uhuru wa kila mmoja kuchangia kwa namna anavyoamini mabadiliko yawe vipi katika katiba mpya. Kwa hili si Mheshimiwa Hamad wala mawaziri wengine waliokwenda kinyume na ministerial code of conduct inayowafanya kuachia nafasi zao. Serikali za coalition ziko nyingi sasa kutokana na result za uchaguzi ambapo majority ya kweli haipatikani, na kuungana kwa vyama kuunda serikali ya kitaifa haifuti maudhui ya vyama vyao bali ni kukaa na ku-comproise na kuangalia priority.
Natoa mfano wa stormont kule Northern Ireland ambapo Sin Fein na wale loyalist wameungana kuunda seriali ya umoja huku bado kila mmoja akilinda azimio kuu lake, angalia zaidi yule Martin Mcguines ambaye ni former commender wa IRA lakini yumo katika serikali ya sasa huku akijulikana kabisa kama ni republican anaeamini na kulenga maazimio ya united ireland against UK. Angalia pia serikali za namna hio kuanzia Israel, Ujarumani hata Uk ambapo tumeona watu wenye malengo tafauti kuungana na hata kutafautiana hadharani pale andapo agenda zao kuenda parallel. Kwa maoni yangu Mwanakijiji ni against serikali ya namna hii lakini hii ni haki yake ya kuamini na kuzungumzia kwa upeo wake anachokiamini sawa na haki ya wananchi wa asilimia 65% waliopiga kura ya yes vote kukubali mabadiliko ya katiba yaliotoa ruhusa hio na pia 49% ya kura ziliopigwa juu ya Mheshimiwa Hamad ambayo kiukweli ushindi wa chama chochote cha asilimia 51% hauwezwi kukubalishwa kama ndio majority ya kweli. Hivi Mheshimiwa Hamad yuko accountable kwa rai ya Mwanakijiji au kwa wananchi waliompigia kura? Kwa nini asimshauri Mheshimiwa Shein kuufuta uteuzi wake kwa kuenda kinyume nae?
Kuhusu wazanzibari walioko ndani ya bunge, njia moja ya wananchi wa kawaida wanaotaka kubadili upepo wa sera za nchi jambo la mwanzo linaloweza kufanikisha hilo ni kuingia katika vyombo vya kubadilisha sheria, mfano UKIP ni anti EU party, ambacho kinaongoza kwa popular vote katika EU elections UK na kikiwa na wabunge ambao lao kubwa ni kupeleka hoja yao ya anti EU, hebu mtafuteni Nogel Farage kiongozi mkuu wa UKIp na umsikilize kwa nini akiwa against EU lakini akawa ni member wa EU parliment? hizo ndizo taratibu za siasa za heshima. Katika dunia ya sasa ya kuwataka kuachana na siasa na kurudi kudai uhuru kwa njia za misituni hazina nafasi, upo uwezekana wa kubadili direction ya nchi kwa wapinzani kuwamo ndani ya chombo cha sheria kuliko ukiwa nje kupiga kelele barabarani. Lakini ni juu yake mwenyewe mwanna kijiji kutumia wabunge wake kupeleka hoja hio ya kuwaondoa wabunge wazanzibar katika bunge, naona ingelikuwa rahisi zaidi.
Tumalize kwenye suala la union ya mkataba na wale wanaouelezea kama kwamba ndio chanzo cha kuvunja muungano, kwanza na tujadili maudhui yaliomo ndani ya mabadiliko ya katiba ya zanzibar ya 2010 na tuwe wa kweli kama tungekuwa na mahakama ya katiba jee SMT na SMZ hawajakiuka katiba ya muungano? Hebu tuangalie ile statement ya Mheshimiwa Lisu bungeni juu ya mabadiliko yale na kutathmini alichokisema, utakuta hao walioapa kuilinda katiba ya muungano ndio hao hao walioadhimisha mabadiliko ya zanzibar ya 2010. Mheshimiwa Nahoda akiwa ndie waziri kiongozi Zanzibar, ambaye sasa ndie 'hero' wa muungano na tumuulize yeye akiwa kiongozi wa SMZ hakuona yale mabadiliko ya katiba yalipinga katiba ya muungano na in theory kuhatarisha kuvunja muungano huu anaoupigia debe? Je, watukufu wa nchi hii nao hawaku-initiate uvunjaji wa muungano kwa kuachia bila ya kukemea au kwa lugha nyengine kubariki mabadiliko yale yalioipa mamlaka rais wa zanzibar wa kubadili wakuu wa mikoa, border, na hata kuondoa mahakama ya rufaa tanzania katika ushiriki wake ndani ya zanzibar? Hivi badala ya kuwasakama hawa wanaotaka muungano wa mkataba kwa kisingizio cha kuvunja muungano kwa nini hamuanzi na hawa waliovunja kabisa maazimio ya katiba ya muungano na mukawaacha kuendelea kujigamba ati ndio waumini wa kweli wa muungano huku mukijuwa wazi ndio chanzo cha mkanganyiko wa katiba ya muungano? kwa nini tuwape CCM wachache license ya kutufanya tukubali kama huu ndio mfumo bora na kuwakandamiza wenye muamko wa maoni tafauti?
Tafauti gani ya muungano wa mkataba against katiba ikiwa katiba yenyewe imewezwa kuchezewa na kuvurugwa na sehemu moja tu kubadili maazimio makuu ya muungano? Ukweli mchungu nchi hizi hazijawahi kuwa moja, inakuwaje ikiwa ziko moja ikawa hata chombo kikuu cha sheria kama mahakama kuwa na limitation katika part moja ya nchi? au kukawa na mabunge mawili, rais wa wawili na mengi tu? Hivi tutacha lini kuhadaiwa na siasa za viongozi wa sasa hasa wa CCM wasioweza kutambua kama nchi hii ni moja au mbili? Inakuwaje kwa mfano wabunge wa Zanzibar kuchangia na kupigia kura maazimisho ya department zisizo za muungano au kuchanguliwa kushika nafasi kuu za wizara zisizo za muungano wakati ni vise verse kule visiwani?
Wenye kuupinga mfumo wa union of treaties waje na solid arguments zinazoonyesha kwamba huu wa katiba umeweza kuulinda muungano wa sasa hasa baada ya marekebisho ya katiba parallel ya Zanzibar ya 2010. Ninnaamini muungano ukivunjika usivunjike hatuwezi kuondosha ukweli wa historia ya miaka 48 ya kuwa wamoja, hichi kigugumizi cha muungano lazima kipatiwe ufafanuzi na ufumbuzi utakaopata nguvu ya wananchi wote ili mfumo ujao uwe na mandate ya wadau wakuu ie wananchi.
Tusikubali kuingizwa katika dimbwi la maji machafu kwa hadaa za kina AIR HEAD na CCM za kututia khofu zisizo na msingi. Tujiepushe na kauli za kuwatia chuki wananchi wa sehemu hizi mbili na kuwapa nafasi watukufu kuendelea na uhadaifu wao huku wakijifaidia nafasi kuu za muungano.