Semahenge
Member
- Apr 1, 2023
- 25
- 13
Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la EMMANUEL MKOMAWAGI ambaye alikuwa mwanajeshi Arusha Monduli akishirikiana na mwenyekiti wa kijiji cha Kaporo Ifakara anayeitwa SAIDINA FAYA kumteka mzee mstaafu anayekadiriwa kuwa na miaka 80(jina Kapuni!)ambaye anasumbuliwa na kisukari na presha.
Mzee huyo alichukùliwa kwa udhalilishaji mkubwa akiwa kwake mchana kweupe.
Alikodishiwa wahuni wakaja wakambeba mzobe mzobe wakamweka kwenye bajaji wakiwa wanampiga na kumkanyaga kanyaga (aliwekwa sehemu ya kukanyagia miguu kwenye Bajaji.
Watekaji hao walimsafirisha usiku mzima hadi wilaya nyingine hadi kijiji kinaitwa Ihowanja wilaya ya Malinyi akiwa amenyang'anywa simu pamoja na wallet yake
Tunashukuru Jeshi la Polisi Ifakara mjini kwa kushirikiana na wasamarian wema kumtrack mwanajeshi na kujua yuko huko vijijini kwa bibi mnyoa nywele kwa lengo la kwenda kumnyoa nywele(imani za kishirikina zilizopitwa na wakati)
Tunaomba vyombo vya sheria vimsaidie Mzee huyu kupata haki yake kwani Mwanajeshi anajitapa amestaafu amelipwa kiasi kizuri cha pesa anatamba atashinda hii kesi..
Huyu mzee mstaafu alipokonywa hela alizokua nazo, simu, pamoja na kadi zote za benki na kadi ya NHIF.
Naombeni msaada wa "kisheria" kuhusiana na hili suala la UTEKAJI NA UDHALILISHAJI Kwa huyu mzee .
Natanguliza shukrani
Cc;@Pascal Mayala
Petro E. Mselewa
Mzee huyo alichukùliwa kwa udhalilishaji mkubwa akiwa kwake mchana kweupe.
Alikodishiwa wahuni wakaja wakambeba mzobe mzobe wakamweka kwenye bajaji wakiwa wanampiga na kumkanyaga kanyaga (aliwekwa sehemu ya kukanyagia miguu kwenye Bajaji.
Watekaji hao walimsafirisha usiku mzima hadi wilaya nyingine hadi kijiji kinaitwa Ihowanja wilaya ya Malinyi akiwa amenyang'anywa simu pamoja na wallet yake
Tunashukuru Jeshi la Polisi Ifakara mjini kwa kushirikiana na wasamarian wema kumtrack mwanajeshi na kujua yuko huko vijijini kwa bibi mnyoa nywele kwa lengo la kwenda kumnyoa nywele(imani za kishirikina zilizopitwa na wakati)
Tunaomba vyombo vya sheria vimsaidie Mzee huyu kupata haki yake kwani Mwanajeshi anajitapa amestaafu amelipwa kiasi kizuri cha pesa anatamba atashinda hii kesi..
Huyu mzee mstaafu alipokonywa hela alizokua nazo, simu, pamoja na kadi zote za benki na kadi ya NHIF.
Naombeni msaada wa "kisheria" kuhusiana na hili suala la UTEKAJI NA UDHALILISHAJI Kwa huyu mzee .
Natanguliza shukrani
Cc;@Pascal Mayala
Petro E. Mselewa