POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu; Binafsi ni mpenzi sana wa gazeti MwanaHALISI, katika toleo no236 Jumatano, Aprili 6-12. Kuna title kubwa inasema. DR. SLAA: KIKWETE AHADAA WANANCHI.
Na Sub title
> Marando: Muswad umewaziba mdomo.
>KISUMO: Tunataka katiba inayokidhi. Imeandikwa habari kamili uk wa2. Ok nimefunua ukurasa wa2 hakuna mpk uk20, hii habari ipo uk gani? Vipi kuna uchakachuzi? Nani kachakachua na kufisadi MwanaHALISI!??
Nimekosa comment za Dr wa ukweli `n` my president on constutition isues
Na Sub title
> Marando: Muswad umewaziba mdomo.
>KISUMO: Tunataka katiba inayokidhi. Imeandikwa habari kamili uk wa2. Ok nimefunua ukurasa wa2 hakuna mpk uk20, hii habari ipo uk gani? Vipi kuna uchakachuzi? Nani kachakachua na kufisadi MwanaHALISI!??
Nimekosa comment za Dr wa ukweli `n` my president on constutition isues