Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Gazeti huru la upingaji ufisadi Nchini sasa inaonekana linazama hasa baada ya siku hizi silisikii katika kipindi cha magazeti kama Vile Leo Redio I , Redio Free na hata Zenj fM, lakn hata ile website yao www.halihalisi.co.tz haiweki matoleo tena ya gazeti lao, nasema imekufa, Blog ya Kubenea nayo imelala fofo siku nyingi sasa, jee hii ni dalili kwamba kifo Cha mwanahalisi kinayemelea?