Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Leo nimekuwa na mazungumzo na kaada wa ACT Wazalendo
Amenifurahisha sana baada ya kuniambia tunawashukuru CCM kwa kuwafutilia mbali hawa mabwana. Anasema walikuwa hawalali wakiwaza namna ya kuifuta chadomo
Amemshukuru sana Comrade Polepole kwa kuisambaratisha Chadema. Anasema wapinzani wao wakuu wanabaki NCCR-Mageuzi kwani ni kama kimezaliwa upya.
Anasema ana uhakika Chadema haiwezi kupata wabunge zaidi ya watatu huku akisema NCCR Mageuzi ndio itakuwa tishio kwao.
Kwa wale vijana wageni kwenye siasa ambao bado wana mihemuko nawajulisha NCCR- Mageuzi ndio chama kikubwa zaidi cha upinzani kuwahi kutokea nchini. Walivuna Wabunge mafuriko hata Mtoto wa Nyerere Baba wa Taifa alikuwa kule.
Ni NCCR pekee imewahi kuwa na wabunge kila kona ya Tanzania.
Yanayotokea Chadema yalishatokea miaka 30 iliyopita kwa vijana waliozaliwa 90 walijue hili waache mihemuko.
Basi kaada huyu wa ACT Wazalendo anasema wana hofu kubwa kwani NCCR Mageuzi ndio itakayounda Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Nimemwacha kwa kumwambia CCM haibakishi jimbo safari hii amekuwa mpole sana,amesema akikosa bara, Zanzibar hawakosi viti hata viwili.
Mimi nawashauri ACT Wazalendo washirikiane na NCCR Mageuzi kuunda kambi ya Upinzani waachane na makanjanja wa siasa Chadema.
Poleni Chadema mmekufa kifo cha aibu mno. NCCR Mageuzi wamewazidi kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amenifurahisha sana baada ya kuniambia tunawashukuru CCM kwa kuwafutilia mbali hawa mabwana. Anasema walikuwa hawalali wakiwaza namna ya kuifuta chadomo
Amemshukuru sana Comrade Polepole kwa kuisambaratisha Chadema. Anasema wapinzani wao wakuu wanabaki NCCR-Mageuzi kwani ni kama kimezaliwa upya.
Anasema ana uhakika Chadema haiwezi kupata wabunge zaidi ya watatu huku akisema NCCR Mageuzi ndio itakuwa tishio kwao.
Kwa wale vijana wageni kwenye siasa ambao bado wana mihemuko nawajulisha NCCR- Mageuzi ndio chama kikubwa zaidi cha upinzani kuwahi kutokea nchini. Walivuna Wabunge mafuriko hata Mtoto wa Nyerere Baba wa Taifa alikuwa kule.
Ni NCCR pekee imewahi kuwa na wabunge kila kona ya Tanzania.
Yanayotokea Chadema yalishatokea miaka 30 iliyopita kwa vijana waliozaliwa 90 walijue hili waache mihemuko.
Basi kaada huyu wa ACT Wazalendo anasema wana hofu kubwa kwani NCCR Mageuzi ndio itakayounda Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Nimemwacha kwa kumwambia CCM haibakishi jimbo safari hii amekuwa mpole sana,amesema akikosa bara, Zanzibar hawakosi viti hata viwili.
Mimi nawashauri ACT Wazalendo washirikiane na NCCR Mageuzi kuunda kambi ya Upinzani waachane na makanjanja wa siasa Chadema.
Poleni Chadema mmekufa kifo cha aibu mno. NCCR Mageuzi wamewazidi kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app