Usifukue makaburi mkuuKiongozi Mayalla, sijaelewa hapo 'kukata issues', hii lugha uliyotumia ni ngumu.
Ooh my godNi habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
Itakuwa typing errorMmmh, kazi tunayo
SawaItakuwa typing error
Aisee nimesikitikaUpo Bunju A maeneo ya Shule. Mtafute babu Asprin anataarifa zote
Tunafahamiana sana mbona? Bila hivyo usingepata hii taarifaJe inamaana kuna member wanafahamiana live mpaka kumjua mtu personal au nikuaminiana tu?
Mkuu nipo sana tu....Kaka hata wewe umepotea...RIP Dena.