Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,015
Kafir ni kafir tu
Hadithiya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtumealiyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho mojamrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hanaJicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI."(Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9)
Kumbe Allaha akandikwa kafiri kati ya macho yake.