MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Anasema: "..hiyo ndiyo Tanzania tuliyokuwa tukiijenga (isiyo ya kidini) sasa watu wanazungumzia udini"
anasema: "..hiyo ndiyo tanzania tuliyokuwa tukiijenga (isiyo ya kidini) sasa watu wanazungumzia udini"
ina maana ameshindwa kujenga tanzania isiyo na udini! (the dude is a failure) sasa hao wanaotuambia kuwa tumeachiwa tanzania na nyerere isiyo na udini wameyatoa wapi maneno haya!
Kiufupi nyerere hafai kuwa ni rejea katika namna ya kuufuta ubaguzi wa kidini.
Halafu anasema serikali haijali dini ya mtu na ni jambo ambalo haliihusu serikali?...huyu alikuwa akiishi dunia gani?
Kama vile umesahau pale alipomchukua Mchungaji Mushendwa na kumpa nafasi ya juu katika TANU kwa ajili tu ya imani yake kubwa katika Ukristo?!una chuki tu na nyerere....udini gani ulikuwepo kipindi chake....?
Zamani sio sasa kwakua tumeyaacha ya Nyerere ndio maana kila kitu kinajifunua wazi UDINI Tanzania unatutafuna!! Hii ni laana ya kuona Nyerere hakufanya kitu!
Anasema: "..hiyo ndiyo Tanzania tuliyokuwa tukiijenga (isiyo ya kidini) sasa watu wanazungumzia udini"
Ina maana ameshindwa kujenga Tanzania isiyo na udini! (the dude is a failure) sasa hao wanaotuambia kuwa tumeachiwa Tanzania na nyerere isiyo na udini wameyatoa wapi maneno haya!
Kiufupi nyerere hafai kuwa ni rejea katika namna ya kuufuta ubaguzi wa kidini.
Halafu anasema serikali haijali dini ya mtu na ni jambo ambalo haliihusu serikali?...huyu alikuwa akiishi dunia gani?
Anasema: "..hiyo ndiyo Tanzania tuliyokuwa tukiijenga (isiyo ya kidini) sasa watu wanazungumzia udini"
Ina maana ameshindwa kujenga Tanzania isiyo na udini! (the dude is a failure) sasa hao wanaotuambia kuwa tumeachiwa Tanzania na nyerere isiyo na udini wameyatoa wapi maneno haya!
Kiufupi nyerere hafai kuwa ni rejea katika namna ya kuufuta ubaguzi wa kidini.
Halafu anasema serikali haijali dini ya mtu na ni jambo ambalo haliihusu serikali?...huyu alikuwa akiishi dunia gani?
Nyerere yeye kama nani atoe laana kwa watanzania?
Mwacheni nyerere apumnzike. Nyie hangaikeni na udini wenu IPO siku mutakuja pata malipo
Kwanini watanzania tunapenda kuongele maswala ya udini na ukabila?
Kuna maswala mengi ya kimaendeleo ya kuongelea,tubadilike.
MBONA KERO YA VIJANA KURUDIA DARSA LA SABA HAIKUIFANYIA KAZI HARAKA KWA KUJENGA SECONDARI NYINGI? hayo mambo ya kutaifisha shule na kuvunja uchifu hayana nguvu kuliko kuwaelimisha watu wengi kwa mpigo. kwa miaka 40 ya utawala wake na wa mwinyi, kero hiyo ya vijana kurudia darsa la saba haikuwa na maana kwao mpaka alipokuja Kikwete , wewe unafikiria nini? kuna watu walikuwa wanaingia secondari wakiwa na umri wa miaka 24, hii ilikuwa kero kubwa sana na nyerere haikuipa kipaumbere, yeyey alitoa kipaumbere kwa Frelimo, MPLA, matatizo ya burundi,syshell na sauth africa badala ya kuangalia watu wake wasio na ajira wala elimu ya kutosha.Mtu ukiwa na upendeleo huwezi kutoa hukumu ya haki. Waliokuwepo wakati wa utawala wa Nyerere wanaweza kukushuhudia kuwa wakati wa kupata uhuru watu walitaka watambulike kwa udini, ukabila na utajiri wao. Aliweza kulifanyia kazi hilompaka likafifia. Sababu mojawapo ya kutaifisha taasisi za elimu na afya zilizokuwa zinaongozwa na madhebu ya kidini ilikuwa ni kuondoa matabaka ya udini huu tunaouongelea hapa. Hata kama alishindwa (kulingana na baadhi ya mawazo ya wenzetu humu) lakini alijitahidi; kauli na dhamira yake ilikuwa wazi kwa kile alichokuwa anafanya na kuongea! Hakuweza kukaa kimya bila kuchukua hatua ya haraka yalipojitokeza haya; hakuogopa mtu.
MBONA KERO YA VIJANA KURUDIA DARSA LA SABA HAIKUIFANYIA KAZI HARAKA KWA KUJENGA SECONDARI NYINGI? hayo mambo ya kutaifisha shule na kuvunja uchifu hayana nguvu kuliko kuwaelimisha watu wengi kwa mpigo. kwa miaka 40 ya utawala wake na wa mwinyi, kero hiyo ya vijana kurudia darsa la saba haikuwa na maana kwao mpaka alipokuja Kikwete , wewe unafikiria nini? kuna watu walikuwa wanaingia secondari wakiwa na umri wa miaka 24, hii ilikuwa kero kubwa sana na nyerere haikuipa kipaumbere, yeyey alitoa kipaumbere kwa Frelimo, MPLA, matatizo ya burundi,syshell na sauth africa badala ya kuangalia watu wake wasio na ajira wala elimu ya kutosha.
Posti kadhaa zilizopita umekumbushwa jinsi alivyomuweka Mchungaji Mushendwa katika moja ya nafasi za juu TANU kwa ajili tu ya Ukristo wake halafu unakuja unaandika maneno kama hayo! ajabu!Mtu ukiwa na upendeleo huwezi kutoa hukumu ya haki. Waliokuwepo wakati wa utawala wa Nyerere wanaweza kukushuhudia kuwa wakati wa kupata uhuru watu walitaka watambulike kwa udini, ukabila na utajiri wao. Aliweza kulifanyia kazi hilompaka likafifia.