johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,028
Akihubiri kwenye mkutano wa Injili Kawe jijini DSM Mwalimu Mwakasege amewataka Wakristo Watafute KIBALI kwa Mungu wa Mbinguni siyo kwa Wanadamu
Mwakasege amesema Mungu wa Mbinguni akikupa KIBALI automatically unakubalika kwa Wanadamu
Ukiona Mtu anatoa Rushwa ujue Mtu huyo hana KIBALI cha Mungu wa Mbinguni na ni wa kumuogopa, amesisitiza Mwalimu Mwakasege
Source: Upendo TV
Mwakasege amesema Mungu wa Mbinguni akikupa KIBALI automatically unakubalika kwa Wanadamu
Ukiona Mtu anatoa Rushwa ujue Mtu huyo hana KIBALI cha Mungu wa Mbinguni na ni wa kumuogopa, amesisitiza Mwalimu Mwakasege
Source: Upendo TV