KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
NHC tunauza nyumba kwa bei nafuu..milioni 119,000,000/= Zakitanzania!!!
Hapo ndipo nimekumbuka Hayati Mwalimu Nyerere aliyeweka misingi bora kwakuanzisha makampuni mbalimbali kati ya makampuni hayo nayoweza kukumbuka ambalo mpaka leo linaendelea kuneemesha wachache na kutupilia mbali madhumuni ya kuanzisha shirika hilo ni hili hapa lijulikanalo..National Housing Corporation (NHC)au kwalugha raisi ni Nasho Hauzingi kwakusema kweli shirika hili lilikuwa lakuwakomboa wa lalahoi tofauti na sasa!!
Sidhani kama inamuingia hakilini mtu wakawaida anaposikia eti tuna nyumba tumejenga za bei nafuu zinauzwa kwa shiling milioni 119.000,000/=
Kama mtanzania wakipato cha kawaida kweli atapata wapi uwezo wakuwa na kiasi hicho chapesa??au ni mipango yao kujinyakulia viwanja vizuri vya magomeni na kwingineko??
Hapo ndipo nimekumbuka Hayati Mwalimu Nyerere aliyeweka misingi bora kwakuanzisha makampuni mbalimbali kati ya makampuni hayo nayoweza kukumbuka ambalo mpaka leo linaendelea kuneemesha wachache na kutupilia mbali madhumuni ya kuanzisha shirika hilo ni hili hapa lijulikanalo..National Housing Corporation (NHC)au kwalugha raisi ni Nasho Hauzingi kwakusema kweli shirika hili lilikuwa lakuwakomboa wa lalahoi tofauti na sasa!!
Sidhani kama inamuingia hakilini mtu wakawaida anaposikia eti tuna nyumba tumejenga za bei nafuu zinauzwa kwa shiling milioni 119.000,000/=
Kama mtanzania wakipato cha kawaida kweli atapata wapi uwezo wakuwa na kiasi hicho chapesa??au ni mipango yao kujinyakulia viwanja vizuri vya magomeni na kwingineko??