Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Heshima Mkuu!
Professor Ali Mazrui katika moja ya kitabu chake "The African Condition" aliandika Mwl. Nyerere is an "Intellectual Cannibal". Baada ya kusoma context ya matumizi ya maandishi haya nimeshindwa kuelewa alikuwa akimaanisha nini? Tafsiri ya kamusi:
Cannibal - "a person who eats the flesh of other human beings." na
Intellectual - "having a highly developed intellect: a person with a highly developed intellect".
(Concise Oxford Dictionary-Tenth Edition)
Baada ya kuambatanisha maana za maneno yote mawili, pia nimeshindwa kuelewa what he meant. Kwa kuwa naamini wapo the Great Thinkers ndani ya Jamii forum ambao wana utajiri wa busara katika kupambanua mambo, nimeona ni vyema kuwasilisha uzi huu kwa maana ya kuwekana sawa.
Nawakilisha!
Professor Ali Mazrui katika moja ya kitabu chake "The African Condition" aliandika Mwl. Nyerere is an "Intellectual Cannibal". Baada ya kusoma context ya matumizi ya maandishi haya nimeshindwa kuelewa alikuwa akimaanisha nini? Tafsiri ya kamusi:
Cannibal - "a person who eats the flesh of other human beings." na
Intellectual - "having a highly developed intellect: a person with a highly developed intellect".
(Concise Oxford Dictionary-Tenth Edition)
Baada ya kuambatanisha maana za maneno yote mawili, pia nimeshindwa kuelewa what he meant. Kwa kuwa naamini wapo the Great Thinkers ndani ya Jamii forum ambao wana utajiri wa busara katika kupambanua mambo, nimeona ni vyema kuwasilisha uzi huu kwa maana ya kuwekana sawa.
Nawakilisha!