Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,318
- 10,021
Sio kwamba nabagua ila ndio nimeona sahihi zaid. Ni kwamba mimi n me aged 23 na 2015 ntakuwa nshagraduate hivyo natafuta mrembo wa kuishi naye( mchumba) awe mwanachuo wa ualimu ngaz yeyote aged btn 18-21. Kwa aliye tayar ani PM tupeana macontact plz nahtaj serious women coz ningekuwa natania ningeenda jokes