Ford Range
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 310
- 475
Pamoja sana rafiki.
Pamoja sana rafiki.Napapenda sana moshi jamani...asante sana rafiki
sasa unaomba samahani ya nini mkuu?Samahani sana umenikumbusha nilikuwa na mtu wangu yupo kurasini SDA alikuwa anapenda sana makambi kuna siku kaniambia twende anagalau usikilize ata kidogo kumbe anaimba kwaya akani surprise
sasa unaomba samahani ya nini mkuu?
Teh...kuna sister yangu alikuwa na kidada cha kazi kisabato kilikuwa na kiburi balaaa hadi akakitimuaKwa hivyo mnawafundisha kuitii Mamlaka ya Bwana pekee ya Duniani haitakiwi kuheshimiwa? kama ni hivyo sasa naelewa uharibifu wa tabia yao unatokea huko.
Wabongo bana wanashangaza sana, unakuta anaenda dukani anauliza, "samahani" kaka una mchele? "naomba" kilo mbiliHii serikali ni ya wanyonge mkuu lazima awe mnyonge
Mkuu wanyonge ndio walio nyongwa watakuwa wamekufa.Hii serikali ni ya wanyonge mkuu lazima awe mnyonge
Wabongo bana wanashangaza sana, unakuta anaenda dukani anauliza, "samahani" kaka una mchele? "naomba" kilo mbili
Teh...kuna sister yangu alikuwa na kidada cha kazi kisabato kilikuwa na kiburi balaaa hadi akakitimua
Uelewa ni kufahamu kuwa lugha ni uungwana sio ugomvi kiswahili ni lugha ya ukalimu na upendo kila lugha ndivyo ilivyo ndio asili ya ubinadamuWabongo bana wanashangaza sana, unakuta anaenda dukani anauliza, "samahani" kaka una mchele? "naomba" kilo mbili
Huo ni uungwana wa lugha hii sio kwa kiswahili tu mfano Kiingereza ndio inaongoza kwa wasemaje wa asili kusema neno ahsante kwa kila afanyacho huo ni utamaduni wa lughaAu anatoa hela kwa huduma za hela akipewa hela anasrma asante
Huo ni uungwana wa lugha hii sio kwa kiswahili tu mfano Kiingereza ndio inaongoza kwa wasemaje wa asili kusema neno ahsante kwa kila afanyacho huo ni utamaduni wa lugha
Hapo tatizo liko wapisasa unaomba samahani ya nini mkuu?
Mie mwenyewe nimemtimua Jumamosi, wiki nzima anafunga nyumba anaishia Makambi kurudi giza, hakuna kuaga wala kushuka ni kama vile amepanga kwa Mwarabu. Jumamosi karudi kiburi kama pepo nikamtimulia mbali. Hata mimi nimeajiriwa na ninaheshimu mamlaka zilizo juu yangu duniani.Teh...kuna sister yangu alikuwa na kidada cha kazi kisabato kilikuwa na kiburi balaaa hadi akakitimua
Wala hawana chuki , Bali hueleza ukweli na siku zote ukweli huwa no mchungu sana. PoleHapana Dini yenye chuki na Dini nyingine kujiona wanastahili wenyewe.Sipendi kusikia chochote kutoka kwao.
N:B MUNGU ni Upendo
This time uende ukam_surprise na wewe, awepo asiwepo ufike tu ili uikumbuke siku aliyokufanyia surp.Samahani sana umenikumbusha nilikuwa na mtu wangu yupo kurasini SDA alikuwa anapenda sana makambi kuna siku kaniambia twende anagalau usikilize ata kidogo kumbe anaimba kwaya akani surprise
Mara nyingine kuwa na akili, sina hakika kama kuna dini inafundisha waumini wake kutokutii, hayo mengine huwa ni Utashi wa mtu binafsi ila kwa sababu ni wa Mrengo fulani wa kidini au kivyovyote vile basi atahusishwa moja kwa moja na kule anakokwenda kusali ama kazini.Kwa hivyo mnawafundisha kuitii Mamlaka ya Bwana pekee ya Duniani haitakiwi kuheshimiwa? kama ni hivyo sasa naelewa uharibifu wa tabia yao unatokea huko.
mkuu usiwaseme vibaya makuhaniMakambi faida yake ni kuleta umoja tu kati ya washiriki, zaidi ya hapo ni miradi ya upigaji kwa wachungaji, mchungaji anademand alale hotel ya 70000 per day wakati anashinikiza washiriki wakambike na mahema, ukimwambia yeye alale kwenye mahema anaruka mita 200....
Mbinguni mbali sana