Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,554
- 11,097
Wooote mnakaribishwa kwenye makambi.
Huu ni msimu wa makambi kwa waumini wa kanisa la Waadventista wa Sabato.
Kwa mfano kuna makambi mtaa wa mabibo yanayoanza kesho. Kutakuwa na wachungaji wanne kwenye kambi hilo.
Kuna wataalam wa malezi ya watoto na vijana
Kutakuwa na mafundisho kwa wajane na Wagane
Kutakuwa na session kwa aijli ya mafundisho ya ndoa
Pia kutakuwa na masomo ya afya
Huu ni wakati unaweza ukampata mchungaji ukamuuliza maswali yoote ya kiroho yanayokutatiza
Namna ya kufika kwenye kambi: Kwa wale wanaotokea kigogo na kupita hiyo njia ya mburahati unaombwa ushuke kituo cha mafuta(shell) cha simba oil. hapo utaona makambi
Karibuni sana tujifunze Biblia
Huu ni msimu wa makambi kwa waumini wa kanisa la Waadventista wa Sabato.
Kwa mfano kuna makambi mtaa wa mabibo yanayoanza kesho. Kutakuwa na wachungaji wanne kwenye kambi hilo.
Kuna wataalam wa malezi ya watoto na vijana
Kutakuwa na mafundisho kwa wajane na Wagane
Kutakuwa na session kwa aijli ya mafundisho ya ndoa
Pia kutakuwa na masomo ya afya
Huu ni wakati unaweza ukampata mchungaji ukamuuliza maswali yoote ya kiroho yanayokutatiza
Namna ya kufika kwenye kambi: Kwa wale wanaotokea kigogo na kupita hiyo njia ya mburahati unaombwa ushuke kituo cha mafuta(shell) cha simba oil. hapo utaona makambi
Karibuni sana tujifunze Biblia