Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Of all the people in the world these great fighters against CORRUPTION had the guts to stand and say wameridhishwa na hatua zilizochukuliwa na SERIKALI maana yake ni kwamba zile BLAH BLAH za PINDA za jana zimewafurahisha sana.
Nilipokuwa naangalia mahojiano ya ITV na hawa watu kidogo walinishangaza na maneno yao!Hizo hatua mpaka mwenzi wa kumi na moja nazo ni hatua and then mwenzi wa kumi na moja tutaambiwa wanapewa muda wa kufikiriwa adhabu gani wapewe mpaka kikao kingine cha Bunge and then itakuwa sasa mchezo!
Dr Mwakyembe anasema hotuba ilikuwa makini na hatua za kisheria zimefuatwa ni zipi hizo?Za kuzidi kuwaficha hawa mafisadi?
Lucas Selelii nao wakadai eti wamefurahishwa ila wakawa na ujasiri wa kuhoji kwa nini wapewe miezi sita?
Nashindwa kuelewa kama ule moto wa hawa ma fighter umezimwa!
Dr Slaa naye akajikanganya.kwanza anasema hatua zilizochukuliwa ni madhubuti na zinatia moyo then anasema huwezi kusema umeridhika ama hujaridhika mpaka hatua zitakapochukuliwa!Sasa hapo sijui kama Kiswahili kimenipiga chenga ama vipi?
Hamad Rashid naye yupo kwenye mkumbo wa walioridhika!
Nilipokuwa naangalia mahojiano ya ITV na hawa watu kidogo walinishangaza na maneno yao!Hizo hatua mpaka mwenzi wa kumi na moja nazo ni hatua and then mwenzi wa kumi na moja tutaambiwa wanapewa muda wa kufikiriwa adhabu gani wapewe mpaka kikao kingine cha Bunge and then itakuwa sasa mchezo!
Dr Mwakyembe anasema hotuba ilikuwa makini na hatua za kisheria zimefuatwa ni zipi hizo?Za kuzidi kuwaficha hawa mafisadi?
Lucas Selelii nao wakadai eti wamefurahishwa ila wakawa na ujasiri wa kuhoji kwa nini wapewe miezi sita?
Nashindwa kuelewa kama ule moto wa hawa ma fighter umezimwa!
Dr Slaa naye akajikanganya.kwanza anasema hatua zilizochukuliwa ni madhubuti na zinatia moyo then anasema huwezi kusema umeridhika ama hujaridhika mpaka hatua zitakapochukuliwa!Sasa hapo sijui kama Kiswahili kimenipiga chenga ama vipi?
Hamad Rashid naye yupo kwenye mkumbo wa walioridhika!