Hili ni Tangazo la vita. tujiandae> Bomu linatik!tik!tik!tik!RIPOTI YA UCHUNGUZI BINAFSI JUU YA UGONJWA WA DR HARISON MWAKYEMBE 12/10/ 2011
JASON BOURNE
TEL:*********
ID************
Hatua ya kwanza:
Niliamua kujua kama ni kweli kalishwa sumu au laa. Na watu nilio wahusisha katika kujua huko ni TISS.
Katika uchunguzi niliweza kuzungumza na LTK wapatao kumi na tano.
1. Maboharia wawili
2. Wapanga mikakati wawili
3. Mkuu wa LTK
4. Vijana wa kazi kumi
Wote maelezo yao yalifanana kwa maana ya (walishiriki kupanga na kutekeleza kumlisha sumu Dr Harison Mwakyembe)
Hatua walizopitia:
Kwa mujibu wa maelezo ya LTK/D00/B1 mkuu wa kitengo hicho ambae kwa kweli niliongea nae kama rafiki yangu wa karibu ndie aliyenipa mwangaza wakufanikisha kazi yangu.
Katika misheni hii watu wengi wanatakiwa KUFA, nitawataja wale muhimu tu:
1. Wilblod Slaa
2. Samweli Sitta
3. Harison Mwakyembe
4. Said Kubenea
5. Mark Mwandosya
Mnamo ijumaa ya tarehe 01/10/2010 saa 4:25, kikao kikuu cha mikakati kilikalika Moven Pick kikihudhuriwa na watu sita,
1. TISS/A001 XXX
2. TISS/B1
3. TISSB32
4. TISS/B5
5. TISS/A6
6. TISS/F5
Baada ya mjadala wa saa moja uliogusa magumu inayokumbana serikali na watu walio waona wao ni vikwazo na waliosababisha magumu hayo, ndipo wakaibuka na listi ya wanaotakiwa kusalimisha uhai wao:
Bada ya hapo kesho yake TISS/B1 alikutana na LTK/D00/B1 na kumpa amri ya misheni hiyo na orodha kamili ya watuhumiwa bila kumwambia sababu za mauaji hayo, zaidi alisema nahitaji ripoti ya utekelezaji.
Baada ya amri kuwa chini ya LTK, mikakati ya aina ya kifo kwa kila mtuhumiwa ilipangwa ambapo walipamgwa katika makundi matatu,
1 Samweli Sitta
2 Harison Mwakyembe
3 Mark Mwandosya
Hawa wamepangiwa vifo vya aina mbili kwanza ajali na ikishindikana watalishwa sumu.
1 Said Kubenea
Kumwagiwa tindikali, baada ya kufeli ile ya kwanza imeagizwa nyingine toka Bulgaria yenye kuua baada ya masaa kumi na mbili tu!
1.Wilblod Slaa
Huyu anatakiwa kufa kwa shabaha ya risasi (snipers) ndio wanao andaliwa tu kwa sasa.
Waliopewa kipaumbele kufa ni Samweli Sita, Mark Mwandosya na Harison Mwakyembe ambapo LTK/D00/B10, LTK/D00/B14, LTK/D00/B17 na LTK/D00/B21 walipewa kazi hiyo.
Kikwazo kikuu walichokumbana nacho vijana wa kazi, ni kuwa, Sita, Mwandosya na Mwakyembe wote ni majasusi na kwapamoja walifanikiwa kufumbua njama hizo chafu za mauaji kwa siri.
Mitego ya ajari 16 kwa Mwakyembe yote imemkosa, 12 kwa Sita nayo ikamkosa,7 kwa Mwandosya nae kakoswa.
Walipoona mbinu zote za vifo vya ajali zimefeli wakahamia kwenye aina ya pili ya vifo vya kulishwa sumu:
Katika aina hii ya mauaji kwa muujibu wa vijana wa kazi wanashangaa uimara wa Samweli Sita na Mwakyembe kwani wameshalishwa aina nyingi za sumu lakini bado wanadunda tu, kwanza sumu ya kwanza kuwalisha ni katika kikao cha kwanza cha bunge mwa 2011, hawakupata madhara yoyote.
Wakabadilishiwa aina ya sumu, hakika hii ilimpata zaidi Mwandosya kwani ilipandikizwa katka simu yake ya mkononi bila yeye kujua saa 4:40 asubuhi ofisini kwake tarehe 7/3/2011.
Aina hii ya sumu (jina sikupata kujua lakini hapa huitwa LTK/XXX) nayo ilishindwa kuzaa matunda kwa Mwakyembe na Sita licha ya kupewa katika mazingira tofauti,hii ilitokana na kuwa kidogo.
Zoezi hili zito na la hatari baada ya kuwa gumu kupita kiwango kwakuwa hata Mwandosya hakudhurika sana, ilibidi uhitajike msaada toka nje ya nchi na ndipo jasusi mashuhuri wa kitanzania Exaveri H.Limo akaenda Urusi kutafuta aina nyingine ya sumu kali.
Tarehe 11/7/2011 akafanikiwa kukutana na Zudrav Ghev mmoja wa wakemia wa KGB katka kituo cha Moscow akapata Polonium 236, kutokana na unyeti na hatari ya sumu hiyo ilimlazimu bwana Zudrav Ghev kuchukua ndege ya watu wa tano na kuruka mpaka tz .
Baada ya kufika tz bwana Zudrav alitoa mafunzo ya wiki moja jinzi ya kuhifadhi na kutumia kisha akatokomea kurudi kwao na vijana wake wanne.
Baada ya Mrusi kuondoka misheni zikaendelea na mnamo tarehe 24 /7/ 2011 wakati afya ya Mwandosya ikiendelea kuzorota mmoja wa LTK/D00/B10 wa kike alifanikiwa kumuwekea Polonium 236 katika chai nyumbani kwake akiwa ni miongoni mwa watu waliokwenda kumjulia hali,
Na Mwakyembe alikuja kuwekewa ktk maji ya kunywa na kwenye kitambaa cha kufutia uso LTK/D00/B17 siku ya uzinduzi wa kikao cha Makandarasi,Wahandisi na Wakadiriaji majenzi pale Mlimani City kilichohudhuriwa na rais.
Kuonyesha kuwa Mwakyembe ni jasusi aliye kubuhu siku hiyo maji hakuyanywa wala kugusa kabisa lakini mungu si athumani kitambaa akakitumia, jambo la kushangaza nikuwa baada ya kama dakika 20 kukitumia kile kitambaa alikitupa wakati anatoka eneo la Mlimani City.
Hivi sasa LTK wameshamaliza kazi yao kwa watu wawili na anayefuata ni Samweli Sita
Na uwezekano wa kupona kwa India ni mdogo ila wanaweza kupunguza makali na kusogeza mbeli mauti yao hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa LTK.
Slaa maandalizi yake yanaangalia zaidi uchaguzi ujao ingawa kumeingia aina ya mabishano makali juu ya kumuua hasa wakihofia kutokea kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe kwakuwa jamii ya kitanzania na kimatafa inamtambua.
Said Kubenea amekabidhiwa LTK/D00/B21 ambae anasubiri kitendea kazi toka Bulgaria ambapo jasusi Yugrov Dittzov ndie atakae ileta.
Huu ndio uchunguzi wangu binafsi baada ya kupata taarifa juu ya hali ya Dr Harison Mwakyembe kuwa ni tete.
Nasema kuwa serikali ya Tanzania inafanya mauaji ya rai wake hasa viongozi wenye mtazamo tofauti na serikali.
Naiomba serikali ya Mh rais isikilize kilio cha watanzania isisikilize kilio cha wa kwasi na mafisadi.
Nina waomba watanzania tuungane pamoja bila kujali dini zetu,makabila yetu wala rangi zetu kulikataa kundi hili la wahalifu lisilozidi watu 30.
Huu ni uchunguzi wangu, unahaki ya kusubiri uchungu wa madaktari wa India
ASANTENI SANA:
JASON BOURNE
Tumefika pabaya! Kama hii mipango inafanywa na watanzania dhidi ya watanzania wenzao, sura ya nchi imeshaharibika. Naogopa kusema nini kitafuatia.
CCM leaders are infamously known for their Kremlin-like tactics of liquidating people who appear to pose a threat on their 'interests'. It has done so to the late Horace Kolimba and same thing later happened to Chacha Wangwe and now they've vainly attempted to eliminate Mwakyembe, thanks God that Pollonium used is said to have already been expired.
Even so, why did they have to wait this long before considering an inquiry? It entirely sounds derisory and, to me, this investigation is a mere artifice just designed to expiate themselves from their spiteful ways.
THE Police force is still investigating the alleged plot to murder the Deputy Minister for Works, Dr Harrison Mwakyembe.
View attachment 40160
On Thursday, the Deputy Director of Criminal Investigation said in Dar es Salaam that covert and overt evidences were now being collected from various individuals and mediums.
''We are still gathering evidence and we are also awaiting medical reports to ascertain whether he was poisoned before we respond accordingly,'' he said.
Dr Mwakyembe was flown to India early this month after suffering from a mysterious skin disease suspected to have emanate from noxious infections.
The Deputy Minister was reported to be suffering from a skin disease scientifically known as Exfoliative Dermatitis the cause of which was yet to be established.
Police comments came to light after Mr Mwakyembe claimed in February over the possible plot to kill him and other high profile leaders and some renowned businessmen.
Dr Mwakyembe had complained that there were plans to kill him, famous businessman, Mr Reginald Mengi and the Minister for Water and Irrigation, Prof Mark Mwandosya.
Others he had named include the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Mr Bernard Membe and the Same East Legislator, Ms Anne Malechela.
Mr Kasala was responding on the questions put forth by journalists to the Inspector General of Police (IGP) Said Mwema on Wednesday and promised to provide answers for the question yesterday through his officers.
''We call on the members of the public with evidence that can help police to get proof of these allegations to present them to us and we will treat them with confidentiality,'' he said.
In another development, police have vowed not to bow to a six months ultimatum given by a sect of opposition leaders asking the law enforcer to stop what they have termed as oppression against opposition politicians.
''We are guided by rules and regulations and we will not stop doing our work because of politicians' pressures.
''In fact we are not even giving heed to their ultimatums,'' Mr Kasala injected.
Source: DailyNews,Tanzania.
Isn't it the case for Malima and Kombe also? or names without certain privileges are worth not mentioning?