Mwakyembe bado tatizo ni kubwa wizara yako kuwa makini na katibu mkuu wako.

mwigo

Member
May 8, 2012
45
15
Kwanza naendelea kusisitiza kuwa MR CHIZI hauhisiki na kuiingizia hasara billion 69 serikali ambazo ni pesa za kitanzania, kwa kuingia mkataba na ndege ya AB320 ijulikanayo kama AIRBUS ambayo ndege hii aliingia mkataba Mr MATAKA mwaka 2008. sasa Mr chizi hapo anahusika vipi??? Wakati Mr chizi ameteuliwa mwaka 2011 mwezi 8.

Na je nani alimuajiri MR CHIZI ? mbona hawajibishwi?? Katibu mkuu anahusika kumuajiri MR CHIZI, Mr MATAKA yeye aliteuliwa na RAIS je rais hakufuata masharti ya kumteua mr mataka ambaye baadae ameiingizia hasara serikali sh billion 69 Tzsh mwaka 2008 kwa kuingia mkataba na AB320 ambayo sasa imekuwa kesi ya CHIZI?? Usisahau kuwa mataka aliwahi kufukuzwa kazi PPF ndio akaajiriwa ATCL je ni vigezo vipi vilitumika kwa MATAKA kumrudisha kazini kama unasema MR CHIZI alisha staafu??

Kama suala ni kuwa serikali haikushirikishwa kwenye ukodishaji wa B737-500 ambayo MR CHIZI ndio ameisimamia mpaka kuja kwake hapa ni kwanini WAZIRI alikuwa anajibu maswali kuhusu ATCL bungeni na kutueleza sisi wananchi juu ya mipango ya ATCL ya kuleta ndege itakayotoa huduma??

Kama haitoshi serikali ktk BUNGE la bajeti la mwaka 2011/2012 iliidhinisha billion 21 ili ATCL ijiendeshe yenyewe kwa kuwa imekuwa mzigo kwa serikali, na serikali iliongeza kuwa haitoingilia shirika hilo.Je ATCL kuleta ndege imekuwa kosa wakati serikali ilisha sema hamtoingilia kwa kuwa mliishaidhinisha billion 21 ili ijitegeme??

Kama walisha kuwa mzigo kwenu kwanini msinge waletea ndege ili wao wajiendeshe wenyewe? Mpaka mmesubiri wameleta ndege then mnawatuhumu??? MWAKYEMBE kuna mengi kuwa makini.

Kama haitoshi serikali iliidhinisha pesa hizo bil.21 kwenye bunge la bajrt 2011/2011 pesa hizo hazikutolewa kwa muda muafaka na zimetoka juzi nazo ni bil,4.9 pekee, je watajiendeshaje??

Kama kosa ni kutotangaza tenda ya UNIFORM za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la MR. CHIZI hapo. Kaa chini na ATCL vizuri utagundua mengi ya katibu wako.

Asante.
 
Hili debe haikosi una mshiko wa mhanga. Si umeambiwa sheria ilimtaka awe alikuwa muajiriwa naye hautimiza sharti hilo sasa unataka nini hapa
kwanza naendelea kusisitiza kuwa mr chizi hauhisiki na kuiingizia hasara billion 69 serikali ambazo ni pesa za kitanzania, kwa kuingia mkataba na ndege ya ab320 ijulikanayo kama airbus ambayo ndege hii aliingia mkataba mr mataka mwaka 2008. Sasa mr chizi hapo anahusika vipi??? Wakati mr chizi ameteuliwa mwaka 2011 mwezi 8.

Na je nani alimuajiri mr chizi ? Mbona hawajibishwi?? Katibu mkuu anahusika kumuajiri mr chizi, mr mataka yeye aliteuliwa na rais je rais hakufuata masharti ya kumteua mr mataka ambaye baadae ameiingizia hasara serikali sh billion 69 tzsh mwaka 2008 kwa kuingia mkataba na ab320 ambayo sasa imekuwa kesi ya chizi?? Usisahau kuwa mataka aliwahi kufukuzwa kazi ppf ndio akaajiriwa atcl je ni vigezo vipi vilitumika kwa mataka kumrudisha kazini kama unasema mr chizi alisha staafu??

Kama suala ni kuwa serikali haikushirikishwa kwenye ukodishaji wa b737-500 ambayo mr chizi ndio ameisimamia mpaka kuja kwake hapa ni kwanini waziri alikuwa anajibu maswali kuhusu atcl bungeni na kutueleza sisi wananchi juu ya mipango ya atcl ya kuleta ndege itakayotoa huduma??

Kama haitoshi serikali ktk bunge la bajeti la mwaka 2011/2012 iliidhinisha billion 21 ili atcl ijiendeshe yenyewe kwa kuwa imekuwa mzigo kwa serikali, na serikali iliongeza kuwa haitoingilia shirika hilo.je atcl kuleta ndege imekuwa kosa wakati serikali ilisha sema hamtoingilia kwa kuwa mliishaidhinisha billion 21 ili ijitegeme??

Kama walisha kuwa mzigo kwenu kwanini msinge waletea ndege ili wao wajiendeshe wenyewe? Mpaka mmesubiri wameleta ndege then mnawatuhumu??? Mwakyembe kuna mengi kuwa makini.

Kama haitoshi serikali iliidhinisha pesa hizo bil.21 kwenye bunge la bajrt 2011/2011 pesa hizo hazikutolewa kwa muda muafaka na zimetoka juzi nazo ni bil,4.9 pekee, je watajiendeshaje??

Kama kosa ni kutotangaza tenda ya uniform za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la mr. Chizi hapo. Kaa chini na atcl vizuri utagundua mengi ya katibu wako.

Asante.
 
Duh huu CHIZI nahisi kaambukiza uchizi watu wemgi akiwemo mleta mada kwanza nashangaa kwa kumtetea CHIZI na wewe unaonekana CHIZI au umekaribia kuwa CHIZI.
 
...Kama kosa ni kutotangaza tenda ya UNIFORM za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la MR. CHIZI hapo. Kaa chini na ATCL vizuri utagundua mengi ya katibu wako.
Asante.
Hivi unatafsiri vipi serikali kujitoa? Uliambiwa kuwa serikali ikijitoa ndo na taratibu za manunuzi kwa mujibu ya sheria zisifuatwe?
 
Mtetee mjomba wako bwana siamekupa ajira,Hata kama aliwapiga biti msinyanyue midomo yenu lakini wewe umefanikiwa hongera.Hapo Atcl umepewa cheo gani na mjomba Chizi mkuu.
 
Kwanza naendelea kusisitiza kuwa MR CHIZI hauhisiki na kuiingizia hasara billion 69 serikali ambazo ni pesa za kitanzania, kwa kuingia mkataba na ndege ya AB320 ijulikanayo kama AIRBUS ambayo ndege hii aliingia mkataba Mr MATAKA mwaka 2008. sasa Mr chizi hapo anahusika vipi??? Wakati Mr chizi ameteuliwa mwaka 2011 mwezi 8.

Na je nani alimuajiri MR CHIZI ? mbona hawajibishwi?? Katibu mkuu anahusika kumuajiri MR CHIZI, Mr MATAKA yeye aliteuliwa na RAIS je rais hakufuata masharti ya kumteua mr mataka ambaye baadae ameiingizia hasara serikali sh billion 69 Tzsh mwaka 2008 kwa kuingia mkataba na AB320 ambayo sasa imekuwa kesi ya CHIZI?? Usisahau kuwa mataka aliwahi kufukuzwa kazi PPF ndio akaajiriwa ATCL je ni vigezo vipi vilitumika kwa MATAKA kumrudisha kazini kama unasema MR CHIZI alisha staafu??

Kama suala ni kuwa serikali haikushirikishwa kwenye ukodishaji wa B737-500 ambayo MR CHIZI ndio ameisimamia mpaka kuja kwake hapa ni kwanini WAZIRI alikuwa anajibu maswali kuhusu ATCL bungeni na kutueleza sisi wananchi juu ya mipango ya ATCL ya kuleta ndege itakayotoa huduma??

Kama haitoshi serikali ktk BUNGE la bajeti la mwaka 2011/2012 iliidhinisha billion 21 ili ATCL ijiendeshe yenyewe kwa kuwa imekuwa mzigo kwa serikali, na serikali iliongeza kuwa haitoingilia shirika hilo.Je ATCL kuleta ndege imekuwa kosa wakati serikali ilisha sema hamtoingilia kwa kuwa mliishaidhinisha billion 21 ili ijitegeme??

Kama walisha kuwa mzigo kwenu kwanini msinge waletea ndege ili wao wajiendeshe wenyewe? Mpaka mmesubiri wameleta ndege then mnawatuhumu??? MWAKYEMBE kuna mengi kuwa makini.

Kama haitoshi serikali iliidhinisha pesa hizo bil.21 kwenye bunge la bajrt 2011/2011 pesa hizo hazikutolewa kwa muda muafaka na zimetoka juzi nazo ni bil,4.9 pekee, je watajiendeshaje??

Kama kosa ni kutotangaza tenda ya UNIFORM za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la MR. CHIZI hapo. Kaa chini na ATCL vizuri utagundua mengi ya katibu wako.

Asante.

Muda wa kutuletea politiki zenu ATCL umekwisha.... mnaboa na kulalama kwenu, nendeni mahakamani basi

na kama huyo chizi mnampenda sana, kanyweni nae chai..... hilo limeshapita, na post zenu hapa JF hazina maana yoyote, chizi awe msafi au sio ATCL needed a change na katika changes lazima kuna casualties so get a life

NAKEREKA SANA NIKISOMA MIJITU FAILURE YA ATCL AU TANESCO INAYOTUTIA HASARA HUMU IKILALAMA, IF YOU WERE GOOD AND CLEAN, YOU WOULD HAVE PREVENTED THESE SH!TS.... PLEASE GET OFF AND GET A LIFE
 
Mimi nilishasema Mwakyembe alitakiwa asafishe wote pale tuanze upya. Watu walishazoea kukaa bure na kupiga majungu huku mshahara unaingia unategemea nini.? Hawana uchungu na shirika hata likifa kwao poa tu so long as salary wanakamata. Fukuza wote!
 
Mijitu mizima na akili zao finyu yanatetea uozo. Go ahead DR HM with your strategy. Baada ya hapo nenda TRC ambako huko kuna uozo sio wa kawaida
 
[Wewe unaye lalamikia mabadiliko ACTL mbona umepewa cheo kwanini hupendi kusubiri mabadilko?
Ngonja kazi ikitangazwa ataomba upya, isitoshe kwa nini waingie mikataba bila ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali?
 
Wewe Uko Wizarani? Au ni Mchangiaji tu?

Kama wewe ni Mchangiaji ya nini Mengi ya kujitwisha yasiyokuhusu Ndani ya hiyo Wizara?

Kama Unataka, Gombea Ubunge, Wasiliana na Usalama wa Taifa au la, Mtumie Barua Prince then labda hapo...
 
Jamani tatizo sio Mwakyembe tatizo ni Serikali ya CCM tuitoe madarakani lakini bila hivyo tutaendelea kupost uz wa mijadala humu mpaka basi serikali ya ccm haiwezi tena kufanya kazi ni kipofu hii
 
Duh huu CHIZI nahisi kaambukiza uchizi watu wemgi akiwemo mleta mada kwanza nashangaa kwa kumtetea CHIZI na wewe unaonekana CHIZI au umekaribia kuwa CHIZI.

Wadau, mmeshindwa kabisa kumwelewa Mwigo. Tatizo hapa ni katibu Mkuu, hata yafanyike mabadiliko ya ma-DG na Ma-CEO wote wa mashirikia yaliyo chini ya Wizara anayoiongoza Omar Chambo kama Katibu Mkuu, bado hakutakuwa na chochote. Kutatua tatizo ni kutatua kiini cha tatizo hilo.

Katibu Mkuu Omar Chambo ameshindwa ku-deliver! Matatizo ya TAZARA, TRL, TPA, TAA, SUMATRA ni kwa sababu Bw. Chizi yupo huko??? Tafakari! Uteuzi wa Chizi nani aliupigia chapuo? Chambo kama KM hakuwepo? Hakuona udhaifu huo? Uagizaji wa hiyo A hakuufanya Chizi, ni Mattaka ndiye aliagiza ndege hiyo. JK alipomteua Mattaka alijua wazi kuwa hakuwa kazini na mbaya zaidi alifukuzwa PPF kwa ufisadi wa kutisha. Hakuwa Mtumishi, hakuwa muadilifu. mattaka alichangia wa kiasi kikubwa kuiua ATCL, uagizaji wa magari 2nd hand toka Dubai ni moja ya ufisadi ulioiangamiza ATCL. Balozi Nyang'anyi naye ni mtu mwingine wa kulaumiwa. Aliiua ATC akiwa Waziri wa Uchukuzi, kastaafu ubalozi na kurudi nyumbani anazawadiwa Uenyekiti wa Bodi ya ATCL kuimaliza!

Serikali inataka ATCL ijiendeshe yenyewe lkn haitoi mtaji wa kujiendesha....mnategemea nini hapo? Hata aje malaika kiasi gani akikabidhiwa ATCL kama ilivyo bila mtaji wa kutosha na kuwezeshwa atashindwa tu! Chambo anaiua makusudi ATCL kwa kuwa anafanya mipango ya siri na Shirika fulani la ndege la hapa Afrika ili lichukue nafasi ya ATCL, fanyeni utafiti mtafahamu yaliyo nyuma ya pazia. Popote alipo Chambo ni matatizo!

Swali la kujiuliza, Chambo ni tatizo na ameshindwa kazi kwanini anabebwa?
 
Duh huu CHIZI nahisi kaambukiza uchizi watu wemgi akiwemo mleta mada kwanza nashangaa kwa kumtetea CHIZI na wewe unaonekana CHIZI au umekaribia kuwa CHIZI.

Anasema kweli kuhusu Airbus na kesi ya Mataka ipo Mahakamani.
 
Back
Top Bottom