Kwanza naendelea kusisitiza kuwa MR CHIZI hauhisiki na kuiingizia hasara billion 69 serikali ambazo ni pesa za kitanzania, kwa kuingia mkataba na ndege ya AB320 ijulikanayo kama AIRBUS ambayo ndege hii aliingia mkataba Mr MATAKA mwaka 2008. sasa Mr chizi hapo anahusika vipi??? Wakati Mr chizi ameteuliwa mwaka 2011 mwezi 8.
Na je nani alimuajiri MR CHIZI ? mbona hawajibishwi?? Katibu mkuu anahusika kumuajiri MR CHIZI, Mr MATAKA yeye aliteuliwa na RAIS je rais hakufuata masharti ya kumteua mr mataka ambaye baadae ameiingizia hasara serikali sh billion 69 Tzsh mwaka 2008 kwa kuingia mkataba na AB320 ambayo sasa imekuwa kesi ya CHIZI?? Usisahau kuwa mataka aliwahi kufukuzwa kazi PPF ndio akaajiriwa ATCL je ni vigezo vipi vilitumika kwa MATAKA kumrudisha kazini kama unasema MR CHIZI alisha staafu??
Kama suala ni kuwa serikali haikushirikishwa kwenye ukodishaji wa B737-500 ambayo MR CHIZI ndio ameisimamia mpaka kuja kwake hapa ni kwanini WAZIRI alikuwa anajibu maswali kuhusu ATCL bungeni na kutueleza sisi wananchi juu ya mipango ya ATCL ya kuleta ndege itakayotoa huduma??
Kama haitoshi serikali ktk BUNGE la bajeti la mwaka 2011/2012 iliidhinisha billion 21 ili ATCL ijiendeshe yenyewe kwa kuwa imekuwa mzigo kwa serikali, na serikali iliongeza kuwa haitoingilia shirika hilo.Je ATCL kuleta ndege imekuwa kosa wakati serikali ilisha sema hamtoingilia kwa kuwa mliishaidhinisha billion 21 ili ijitegeme??
Kama walisha kuwa mzigo kwenu kwanini msinge waletea ndege ili wao wajiendeshe wenyewe? Mpaka mmesubiri wameleta ndege then mnawatuhumu??? MWAKYEMBE kuna mengi kuwa makini.
Kama haitoshi serikali iliidhinisha pesa hizo bil.21 kwenye bunge la bajrt 2011/2011 pesa hizo hazikutolewa kwa muda muafaka na zimetoka juzi nazo ni bil,4.9 pekee, je watajiendeshaje??
Kama kosa ni kutotangaza tenda ya UNIFORM za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la MR. CHIZI hapo. Kaa chini na ATCL vizuri utagundua mengi ya katibu wako.
Asante.
Na je nani alimuajiri MR CHIZI ? mbona hawajibishwi?? Katibu mkuu anahusika kumuajiri MR CHIZI, Mr MATAKA yeye aliteuliwa na RAIS je rais hakufuata masharti ya kumteua mr mataka ambaye baadae ameiingizia hasara serikali sh billion 69 Tzsh mwaka 2008 kwa kuingia mkataba na AB320 ambayo sasa imekuwa kesi ya CHIZI?? Usisahau kuwa mataka aliwahi kufukuzwa kazi PPF ndio akaajiriwa ATCL je ni vigezo vipi vilitumika kwa MATAKA kumrudisha kazini kama unasema MR CHIZI alisha staafu??
Kama suala ni kuwa serikali haikushirikishwa kwenye ukodishaji wa B737-500 ambayo MR CHIZI ndio ameisimamia mpaka kuja kwake hapa ni kwanini WAZIRI alikuwa anajibu maswali kuhusu ATCL bungeni na kutueleza sisi wananchi juu ya mipango ya ATCL ya kuleta ndege itakayotoa huduma??
Kama haitoshi serikali ktk BUNGE la bajeti la mwaka 2011/2012 iliidhinisha billion 21 ili ATCL ijiendeshe yenyewe kwa kuwa imekuwa mzigo kwa serikali, na serikali iliongeza kuwa haitoingilia shirika hilo.Je ATCL kuleta ndege imekuwa kosa wakati serikali ilisha sema hamtoingilia kwa kuwa mliishaidhinisha billion 21 ili ijitegeme??
Kama walisha kuwa mzigo kwenu kwanini msinge waletea ndege ili wao wajiendeshe wenyewe? Mpaka mmesubiri wameleta ndege then mnawatuhumu??? MWAKYEMBE kuna mengi kuwa makini.
Kama haitoshi serikali iliidhinisha pesa hizo bil.21 kwenye bunge la bajrt 2011/2011 pesa hizo hazikutolewa kwa muda muafaka na zimetoka juzi nazo ni bil,4.9 pekee, je watajiendeshaje??
Kama kosa ni kutotangaza tenda ya UNIFORM za atcl ktk mfumo wa serikali mbona serikali ilisha jitoa kuingilia shirika hilo??? Sijaona tatizo la MR. CHIZI hapo. Kaa chini na ATCL vizuri utagundua mengi ya katibu wako.
Asante.