Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Mwakyembe sio mgeni kwenye mambo ya kashfa, ni janja-janja nyingine inayotumia elimu na siasa kupata opportunities, alinguruma sana wakati wa sakata la Richmond kumbe na yeye alikua na kampuni ya umeme, kila aendapo lazma hukumbana au hukumbwa na vurugu, complaints and the like... hii kitu siyo coincidence, KUNA KITU!!
Na siku zote huwa mjanja sana wa kusingizia UCHAGUZI ETC.
Kama sikosei, huyu jamaa pia alishawahi kutolewa kwenye magazeti over 10 years ago akiwa kabanwa na watemi aliwaingilia mboga yao
Anyway, sidhani kama atashinda ubunge mwaka huu... he has to be careful, maana akishindwa basi yatafumuka mengi na hataamini kitakachomkuta
Na siku zote huwa mjanja sana wa kusingizia UCHAGUZI ETC.
Kama sikosei, huyu jamaa pia alishawahi kutolewa kwenye magazeti over 10 years ago akiwa kabanwa na watemi aliwaingilia mboga yao
Anyway, sidhani kama atashinda ubunge mwaka huu... he has to be careful, maana akishindwa basi yatafumuka mengi na hataamini kitakachomkuta