Gabriel Mwaikimba ameipatia Mbeya bao moja na kuchukua kombe la Taifa Cup katika mpambano wa fainali lililofanyika uwanja wa sheikh Amri Abeid, Arusha. Pia Mwaikimba amechukua kiatu cha Dhahabu kwa kujipatia mabao 8, atapata zawadi ya shilingi milioni mbili na nusu. Wadhamini wa mashindano haya ni TBL kupitia bia ya Kilimanjaro Larger