NO...Kuna mwanadada mwingine mwenye sifa kama za kimwafrika wa kike za kuwa mtu wa watu..Ambaye yuko matatizoni na ujumbe pale chini unaomba kupeleka habari popote..Sasa kuna shida gani hapo?
Tafadhali usianze SPIN hapa!
spin ya nini tena, mbona uko so insecure> kila wakati unakuwa defensive?