Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,414
Mdau kapaki gari chini ya mti mkubwa, kabla hajawahi kulisogeza, mti puu juu ya ndinga 😆😆
bora jua sijui sema linachoma na lenyewe
Bora mvua lakini sio kama hiiKati ya jua 🌞 na mvua 🌧, bora nini...!!!!
Umefika kwenye kazi gani mapema hv au unauza chaiZimeonyesha mvua nyingi lakini hii ya leo imeongezwa kidogo, nashukuru nimeshafika kazini japo nimeloa sana
Kwakweli. Tutembee na mawe… mtu akirusha maji tu jiwe paaaah kwenye kioowenye magari yenu na usafiri wenu tunaomba mtembee kwa ustaraabu ole wenu mturushie maji au tope
Asee, ukuta umesha piga chini apa nilipo
Acha tu ndugu yangu riziki zinatafutwa kwa taabu sanaUmefika kwenye kazi gani mapema hv au unauza chai
ni kibaruani wamesema wa kazini hawaendagi jumamos etiMvua ni kubwa mno jamani! Sisi tunaoenda kazini sasa, nahisi kuumwa!
Uko wapi tupeane kampani weekend hiiJumamosi hii wanaoenda kazini wanalaani hatari, ila ambao hawaendi kazini ni kulala hadi njaa iume kisawasawa ndo waamke kupika.
Hongereni kwa hali ya hewa nzuri, pole kwa wanaoishi maeneo ya chini ya usawa wa bahari maana mafuriko hayatawaacha salama.
Huwa sielewi kwanini Tanesco hawapatani na mvua, ikinyesha tuu umeme usipokatika basi hilo eneo limebahatika.
Poleni kwa yote, ndo maisha.
Anakurudia, anakusogezea bampa akuchubue miguu.Kwakweli. Tutembee na mawe… mtu akirushq maji tu jiwe paaaah kwenye kioo
Bora mvua lakini sio kama hii
Mvua ni kubwa mno jamani! Sisi tunaoenda kazini sasa, nahisi kuum
Na kweli aisee wenye kazi muda huu wamelala ila sisi vibarua sasa!ni kibaruani wamesema wa kazini hawaendagi jumamos eti
jua la december ni balaaaa kuna jua linawa makumbusho mpaka unajiuliza kwani huku wamemkosea nini Mungu 🙌🏻🙌🏻Yaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.
Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.
Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.
Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.
Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.
Bongo daresalamu.