Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wakati watanzania wakiendelea kuumia na maumivu ya mv spice
meli nyingine ya mv serenegeti iligoma kuondoka baada ya kukutwana matatizo
na kufika wakati abiria kuomba kuondoka wakaombwa wasubiri na mwisho
wakaja kusema atuna jinsi mamlaka ya bandari imesema atuwezi kuondoka
inabidi ttulalel kwenye meli mpaka asbh walipotolewa
hawa wenye vyombo vya maji wana dili gani na wazanzibari jamani??
meli nyingine ya mv serenegeti iligoma kuondoka baada ya kukutwana matatizo
na kufika wakati abiria kuomba kuondoka wakaombwa wasubiri na mwisho
wakaja kusema atuna jinsi mamlaka ya bandari imesema atuwezi kuondoka
inabidi ttulalel kwenye meli mpaka asbh walipotolewa
hawa wenye vyombo vya maji wana dili gani na wazanzibari jamani??