Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,131
- 35,164
Toka siku ya jana ndani ya bunge la Tanzania kulikuwa na mjadala kuhusu kuundwa kwa baraza la vijana nchini Tanzania. Wabunge kadhaa walisikika wakichangia kwa kuukosoa Muswaada huo kwa kuwa karibu wote umeigwa(Copy and Paste) kutoka Kenya huku ukiacha mambo ya msingi yanayohusu mazingira halisi ya vijana wa Kitanzania.
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Naibu waziri wa Vijana, habari na michezo Juma Nkamia leo wakati wa majumuisho wa hoja alisema kuwa, ni kweli Muswaada huo kwa sehemu Kubwa umeigwa (Copy and Paste) kutoka Kenya.
Nini Uzuri na ubovu wa sheria ya uundwaji wa baraza la vijana la Kenya kiutekelezaji, kwa kuwa soon Tanzania will experience the same?
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Naibu waziri wa Vijana, habari na michezo Juma Nkamia leo wakati wa majumuisho wa hoja alisema kuwa, ni kweli Muswaada huo kwa sehemu Kubwa umeigwa (Copy and Paste) kutoka Kenya.
Nini Uzuri na ubovu wa sheria ya uundwaji wa baraza la vijana la Kenya kiutekelezaji, kwa kuwa soon Tanzania will experience the same?