Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Mustapha Sabodo mfanya biashara mwenye asili ya kiasia ametoa msaada wa kiasi cha Sh 5milioni kwa familia ya Ismail na kiasi hichohicho kwa familia ya Denis na mazishi ya Denis Rombo ndio yanaanza leo! hii yote ni kutokana na vifo visivyo na hatia vilivyotokea mkoani Arusha siku ya maandamano ya wanachadema! Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi Amina.ray2: