KIDUDU JF-Expert Member Sep 17, 2012 2,554 1,920 Aug 2, 2016 #1 Jamani naombeni msinikejeli wala kunidhihaki. Naombeni mwenye mawasiliano ya Mzee Sabodo anisaidie Pm. Tafadhali naombeni mnisaidie hasa barua pepe, na namba ya simu hata ya ofisini. Natanguliza shukrani. Kidudu
Jamani naombeni msinikejeli wala kunidhihaki. Naombeni mwenye mawasiliano ya Mzee Sabodo anisaidie Pm. Tafadhali naombeni mnisaidie hasa barua pepe, na namba ya simu hata ya ofisini. Natanguliza shukrani. Kidudu
UncleBen JF-Expert Member Oct 27, 2014 9,598 11,993 Aug 2, 2016 #2 Mhhh jina lako na hiyo avatar hata ningekua na mawasiliano nae ningesita kukupa ,
G Gojaga Nize JF-Expert Member Jul 1, 2015 2,756 1,733 Aug 2, 2016 #3 Unataka uchonge mfereji wa shekeli siyo.... mi sina
KIDUDU JF-Expert Member Sep 17, 2012 2,554 1,920 Aug 2, 2016 Thread starter #4 Gojaga Nize said: Unataka uchonge mfereji wa shekeli siyo.... mi sina Click to expand... Duh....., mkuu mbona hivi lakini? Ningeomba ya mwanamke ningeonekana mwasherati
Gojaga Nize said: Unataka uchonge mfereji wa shekeli siyo.... mi sina Click to expand... Duh....., mkuu mbona hivi lakini? Ningeomba ya mwanamke ningeonekana mwasherati
CCA JF-Expert Member Apr 25, 2015 396 189 Aug 2, 2016 #5 Nenda ofisini kwake pale mmnazi mmoja/ kitumbini ila ujue kujieleza coz masecretary wake wagumu kweli
Nenda ofisini kwake pale mmnazi mmoja/ kitumbini ila ujue kujieleza coz masecretary wake wagumu kweli
nanawoo JF-Expert Member Jan 2, 2015 1,267 1,215 Aug 2, 2016 #6 kwan huyo ni nan na anashuulika na nini mimi mbona simjui naomba kujuzwa pls kama.hamtojali
P Pohamba JF-Expert Member Jun 2, 2015 27,639 61,068 Aug 2, 2016 #7 nanawoo said: kwan huyo ni nan na anashuulika na nini mimi mbona simjui naomba kujuzwa pls kama.hamtojali Click to expand... Mfadhili wa Bw.Mbowe kabla Jk hajamkata Lowassa
nanawoo said: kwan huyo ni nan na anashuulika na nini mimi mbona simjui naomba kujuzwa pls kama.hamtojali Click to expand... Mfadhili wa Bw.Mbowe kabla Jk hajamkata Lowassa
KIDUDU JF-Expert Member Sep 17, 2012 2,554 1,920 Aug 2, 2016 Thread starter #8 CCA said: Nenda ofisini kwake pale mmnazi mmoja/ kitumbini ila ujue kujieleza coz masecretary wake wagumu kweli Click to expand... Mkuu nipo mbali na dar ndiyo maana nikataka hivyo
CCA said: Nenda ofisini kwake pale mmnazi mmoja/ kitumbini ila ujue kujieleza coz masecretary wake wagumu kweli Click to expand... Mkuu nipo mbali na dar ndiyo maana nikataka hivyo