Musa Zungu ndiye kirusi cha tozo

Izia maji

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
2,163
3,813
Musa Zungu mbunge wa Ilala ndiye aliyependekeza na kushinikiza kuwepo kwa tozo kwa wananchi fukara wa Tanzania. Bila aibu yo yote alisimama bungeni kutoa hoja ya kuanzisha wizi wa fedha za wananchi huku yeye akiwa anaendeleza biashara zake haramu za madawa ya kulevya!

Mwigulu akiwa amefikia upeo wa kufikiri akapokea hoja hii bila kujali madhara ambayo wananchi wangepata! Tena akijisifu kuwa ni daktari wa uchumi kumbe ni daktari wa utapeli!

Sasa Mwigulu mwenyewe amefuta na kupunguza viwango vya tozo kwa aibu kubwa! Mwigulu hafai kuendelea kuwa katika ofisi ya umma hata bure kwa sababu ni fisadi aliye kubuhu!
 
Ndiyo aliyeleta mswaada wa tozo Bungeni? Utawala (Executive) ndio wakulaumiwa hafu ujue tu Muswaada wowote lazima ujadiliwe na Baraza la mawaziri ambapo Chair ni President unataka kuniambia Zungu kaiweka serikali yote mfukoni?
 
Ndiyo aliyeleta mswaada wa tozo Bungeni? Utawala (Executive) ndio wakulaumiwa hafu ujue tu Muswaada wowote lazima ujadiliwe na Baraza la mawaziri ambapo Chair ni President unataka kuniambia Zungu kaiweka serikali yote mfukoni?
Fisadi ana mbinu nyingi za kufanikisha udhalimu wake ikiwa na pamoja na kuwanunua viongozi wakuu kwa fedha haramu!

Kwa hiyo usishangae!
 
Musa Zungu mbunge wa Ilala ndiye aliyependekeza na kushinikiza kuwepo kwa tozo kwa wananchi fukara wa Tanzania. Bila aibu yo yote alisimama bungeni kutoa hoja ya kuanzisha wizi wa fedha za wananchi huku yeye akiwa anaendeleza biashara zake haramu za madawa ya kulevya!

Mwigulu akiwa amefikia upeo wa kufikiri akapokea hoja hii bila kujali madhara ambayo wananchi wangepata! Tena akijisifu kuwa ni daktari wa uchumi kumbe ni daktari wa utapeli!

Sasa Mwigulu mwenyewe amefuta na kupunguza viwango vya tozo kwa aibu kubwa! Mwigulu hafai kuendelea kuwa katika ofisi ya umma hata bure kwa sababu ni fisadi aliye kubuhu!
Ni upuuzi Musa ni chama Gani?

Acha tuumie tu ili labda tutapata akili
 
Bahati mbaya sana wabunge wetu wote ni mburula na machawa hawana uwezo wa kuihoji serikali!
 
Na waziri alikubali vipi bila kumshauri Rais?

Waziri kwa Nini alilipeleka bungeni bila wahusika kukubaliana na maazimio ya Musa Zungu au serikali?

Kwa Nini Wabunge walikubali kujadili mambo ambayo hawajapokea maoni ya watu wao. Hili linamgusa kila mtu watoto, vijana na wazee nk. Ningeshauri Ikiwezekana hata bunge livunjwe.

Chama Cha CCM kilikubali vipi kupokea taarifa na wazo la Zungu na kulifanyia kazi na kusema eti wananunua madawati, kujenga madarasa na zahanati? Mpaka leo hii ni shule ngapi na vituo vingapi vimejengwa.

Huu ni wizi mtupu.

Nashauri Maaskari Polisi wakawaombe radhi waliyopo mahabusu na waliofungwa kwa ajili ya kuiba na kutapeli.
 
Musa Zungu mbunge wa Ilala ndiye aliyependekeza na kushinikiza kuwepo kwa tozo kwa wananchi fukara wa Tanzania. Bila aibu yo yote alisimama bungeni kutoa hoja ya kuanzisha wizi wa fedha za wananchi huku yeye akiwa anaendeleza biashara zake haramu za madawa ya kulevya!

Mwigulu akiwa amefikia upeo wa kufikiri akapokea hoja hii bila kujali madhara ambayo wananchi wangepata! Tena akijisifu kuwa ni daktari wa uchumi kumbe ni daktari wa utapeli!

Sasa Mwigulu mwenyewe amefuta na kupunguza viwango vya tozo kwa aibu kubwa! Mwigulu hafai kuendelea kuwa katika ofisi ya umma hata bure kwa sababu ni fisadi aliye kubuhu!
Kizazi Cha lawama ,hakijui kinataka nini.
Kianzishwe Tozo ,lawama .
Tozo ifutwe, lawama .

Haya Tozo zimefutwa nakupunguzwa
Unalalamika nini?

Dhungu anasitahili kupongezwa ,angarau alionyesha uwezo wa kufikili tofauti.

Kuna unafuu mkubwa wakua na hizi Tozo zilizopo kisheria na zimekua Fixed kuliko kudanganyana na kubabikiana kesi Kisha kulipishwa pesa zisizo tambulika kisheria , unakumbuka kipindi Cha mazungimzo na Dpp?

Watu wlilipishwa plea Bargain.

Haikua nasheria Wala kanuni ilikua mwendo wakukiri kosa na kulipa.

Mwiguru ahukumiwe kwa woga wake maana akitajiwa kukazia hapo hapo.
 
Kizazi Cha lawama ,hakijui kinataka nini.
Kianzishwe Tozo ,lawama .
Tozo ifutwe, lawama .

Haya Tozo zimefutwa nakupunguzwa
Unalalamika nini?

Dhungu anasitahili kupongezwa ,angarau alionyesha uwezo wa kufikili tofauti.

Kuna unafuu mkubwa wakua na hizi Tozo zilizopo kisheria na zimekua Fixed kuliko kudanganyana na kubabikiana kesi Kisha kulipishwa pesa zisizo tambulika kisheria , unakumbuka kipindi Cha mazungimzo na Dpp?

Watu wlilipishwa plea Bargain.

Haikua nasheria Wala kanuni ilikua mwendo wakukiri kosa na kulipa.

Mwiguru ahukumiwe kwa woga wake maana akitajiwa kukazia hapo hapo.
Hivi wewe ni mtu au mtoto wa shetani!
 
Jamani eeeh.... Tozo hazijafutwa badooo...

 
Back
Top Bottom