Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,238
- 1,620
Inawezakuwa kweli napoteza muda kwa shemeji, naomba nije kwako kutafuta zangu ili nisipoteze muda.Tafuta zako acha kupoteza muda kwa shemeji
Inawezakuwa kweli napoteza muda kwa shemeji, naomba nije kwako kutafuta zangu ili nisipoteze muda.Tafuta zako acha kupoteza muda kwa shemeji
Huko hatakua mhimili tena?!Hongera kwake
Aitangaze vyema Tanzania
Hivi 1.5 trillion unazitumiaje hadi ziishe?Kule kuwa mkweli kuwa jiwe alikomba 1.5 Tril imemuongezea status
Haaaaaahaaaaa kwa staili hii CAG itakuwa km mabaunsa na masta wa bongo!Nami nilitamani aje kunipigia hesabu kwenye daladala ya shemeji maana kila siku konda ananiletea hela hazieleweki
Maelezo yako bado yana uzushi umeshindwa kuthibitisha. Umeishia kusema mdini kama Rama Dau.Mdini sana, kama tu Ramadhan Dau
Sasa aliyeandika Uharo si ni wewe hapo?
Mimi sikuandika popote neno uharo
Uzuri wa mke na ukaguzi wa hesabu unaingiaje tena ?Mhuuuu,imekaa vibaya kwaserikali ya Tz,Assad anamke mzuri kwelikweli
Kuwa na imani ya dini fulani nayo mapungufu..Assad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
SitakiInawezakuwa kweli napoteza muda kwa shemeji, naomba nije kwako kutafuta zangu ili nisipoteze muda.
CAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
Sema kweli,Uislamu ndo unakusudia kuwa ni kasoro yake?Assad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Ngoja tu nikomae na shemeji yangu, kumbe ushauri wako sio saizi yangu.Sitaki
Wewe utakuwa ni kima, pumbavu kabisa!Hahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli
Heri angemwacha alipo maana naona wote watamtumia hivi budget yetu ni tegemezi kwa %ngapi vileNi mzalendo na mkwli ataifanya kazi yake kwa weledi mkubwa... Japo kuna watu hawajalipenda hili