Jituoriginal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 350
- 31
Ni mwema na hana Ubaguzi .amemleta mtumishi wake Babu wa Loliondo .kuwapa tiba hata wenzagu mimi tusiomwamini Isa Bin Mariam kuwa mwokozi na mwanaye wa pekee. pain killer futa na post hii .
Haeding yako inaashiria udini! Hakuna Mungu wa nani wala nani. MUNGU WA KWELI NI MMOJA TU NA NI WA WATU WOTE
USISAHAU "MUNGU" HUYU NDIE ALIYELETA DECI
Haishi vituko!
USISAHAU "MUNGU" HUYU NDIE ALIYELETA DECI
Haishi vituko!