johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
Kila ninapoikuta flyover nasema moyoni Mungu wa mbinguni amrehemu sana Shujaa Magufuli.
Kazi zake tangu akiwa Waziri wa Ujenzi hadi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitadumu mioyoni mwa Vizazi vya Watanzania.
Mlale Unono!
Kazi zake tangu akiwa Waziri wa Ujenzi hadi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitadumu mioyoni mwa Vizazi vya Watanzania.
Mlale Unono!