Mungu hakukosea kutenganisha nafasi na majukumu katika muktadha wa jinsia

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,432
11,100
Wasalaam,

Wanaume na wanawake ni zao la Mungu baba wa mbinguni, aliye muumba wa vitu vyote, ukuu wa Mungu na vielelezo vyake ameumbiwa mwanaume.

Hivyo nawakumbusha wanajamii na watu wa mataifa Duniani kuzingatia yote kwa kufuata muundo wake Mungu.

Itokeapo ukamfanya mke kuwa Mkuu wa kaya zenu basi tarajia mtikisiko mkubwa sana kwenye jamii husika.

Asanteni 🙏🙏🙏

Wadiz
 
Back
Top Bottom