Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
aiseee ni aibu sana!!ha ha ha ha visa na mikasa vya kwenye ndoa
Mumeo kabisa au mchepuko!!
Shame on us!!women!!
aiseee ni aibu sana!!ha ha ha ha visa na mikasa vya kwenye ndoa
Mwenye tabia yake haachi katu!Alijua atabadilika kwenye ndoa...
Pamoja na hayo, usiwaamini sana watu humu, pengine hili ni dume, linaangalia tu tunavyotoa povu.
aiseee ni aibu sana!!
Mumeo kabisa au mchepuko!!
Shame on us!!women!!
Heshima yako mkuuWeka kikao naye muongee seriously mtatue hilo tatizo usije ukachepuka bure na kumsahau.
Hahaaaaa.....!!!pole wee kwa kua umeolewa mtandaoni basi omba ushauri humu humu mtandaoni!usijifanye unastuka kisa aliyeandika mwanamke..angeandika mwanaume ungemshauri hata japo kastyle kamoja.
nimegundua nusu ya waliochangia humu ni wanafiki au wahanga wasioweza kujielezea yanayowasibu
kungwi yupo mitandaoni? unataka nifwate aliyonifundisha kungwi ili jamii inayonizunguka ijue yangu ya ndani
kuna anayenifahamu huku?
hujui tu kama nibora uongee humu usikojulikana kuliko kuongea na wanaokufahamu ndo ntakuwa nimemvua nguo mume wangu.
siamini mtu yoyote kuongea nae mana haitokuwa siri tena..hao makungwi wenyenye 90% wameachika ndo atanishauri nini.
wacha unafiki wewe
jamani nimecheka sanaWEWE SIO MUME WANGU WEWE?
Kingine kabla sijasahau kama unataka PM za wabinuka judo utazipata tu mamaaausijifanye unastuka kisa aliyeandika mwanamke..angeandika mwanaume ungemshauri hata japo kastyle kamoja.
nimegundua nusu ya waliochangia humu ni wanafiki au wahanga wasioweza kujielezea yanayowasibu
kungwi yupo mitandaoni? unataka nifwate aliyonifundisha kungwi ili jamii inayonizunguka ijue yangu ya ndani
kuna anayenifahamu huku?
hujui tu kama nibora uongee humu usikojulikana kuliko kuongea na wanaokufahamu ndo ntakuwa nimemvua nguo mume wangu.
siamini mtu yoyote kuongea nae mana haitokuwa siri tena..hao makungwi wenyenye 90% wameachika ndo atanishauri nini.
wacha unafiki wewe
Hahaaaaa.....!!!pole wee kwa kua umeolewa mtandaoni basi omba ushauri humu humu mtandaoni!
hivi kingine kungwi mpk awe jirani au sijui nani?!!!
Ndoa uliitaka mwenyewe hiyoo Dada hilo segere licheze mwenyewe ndugu!!
Hizo ni siri za ndani za mmeo na wewe dadaa!!
Yapo ya kuongea sio kila usemacho ni sifa...!!
We si ulijua toka uchumba kua mmeo anastaili moja...?
Sasa uliolewa ili uvae shela au kutoa gundu!??????
Ulitaka kufunga mtaaaaa..eeeehhh..uonekane umeolewa si eti?!!!
Pole sana aiseeeh!!!
We ndo mnafiki wa kwanza,vumilia tu mama kifo cha mende hiko ndo cha kwako hikoooo...!!
Hao wabinuka judo hujabarikiwaaa....
Au labda kama umefata kiki humu!
ha ha hah sasa jaman kama hafik vizur asiseme au mnataka azoee shida?aiseee ni aibu sana!!
Mumeo kabisa au mchepuko!!
Shame on us!!women!!
hahahahahahaaa... hata mimi nmeshawasoma mwingine anakuja na gia ya kutafuta mchumba(mwanaume) wakati nae ni jinsia hiyohiyo, alafu walivyokua hawaweki akiba huo uongo wao utashangaa kesho kutwa anakuja na mada "mke wangu anachepuka na boss wake"Alijua atabadilika kwenye ndoa...
Pamoja na hayo, usiwaamini sana watu humu, pengine hili ni dume, linaangalia tu tunavyotoa povu.
Tatizo la kuanza unzizi kabla ulijuaje kwamba hizo style nyingine zitakupa raha kiliko hiyo,maana huwezi kutamani usichokijua.
we jua ya kuwa kungwi awe jirani au si jirani siri itatoka tu
na kwa taarifa yako sijaolewa mitandaoni
katika sehemu safe za kutoa ya moyoni ni mahala hapa kama hufahamu ndo ufahamu sasa hivi
wala sihitaji pole nshapata suluhisho hayo yako ya nyongeza tu unajifurahisha.
we ni mnafiki tu hata useme nini
hahahahah kifo cha mende tu stakiiiDear, hata mie napenda sana kifo cha mende. Ila usije ukanilipua huku. Nitakuona mchochezi...
Sasa si alitaka mwenyewe uchumba wote huo...!!ha ha hah sasa jaman kama hafik vizur asiseme au mnataka azoee shida?
pole bwana Mrs kifo cha mende!!!
Punguza hasira ndo ushaolewa hvyooo!