Wadau hapa tushauriane imetokea shemeji yangu mume wa dada mtoto wa mama mdogo ana mgonga(lack of a better word) mke wa mdogo wake na mkewe hii kitu nime iprove kwa macho yangu nadhani dogo mwenye mke hajui wala sista nae hana anacho kijua.....niuchune au niweke mambo hadharani? (ushahidi wa picha ninao) ninacho hofia ni kwamba nikisema ntasambaratisha ndoa zote mbili ya dada na ya dogo na kinacho niuma ni pamoja na shemeji kumuoa dada yetu bado anakula na mke wetu hii sio dharau jamani?....
Huyo atawamaliza wote huyo. Akimaliza wake zenu atawatafuna na nyie. Huyo ni kama simba aliyeonja nyama ya binadamu huwa haachi mpaka auliwe. Msanue huyo akafie mbele. Kunaaaambeleges!
Usitafute nikutukane mkuu nani umeskia ni punga mpaka aliwe?