Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa

Mtoto hana baba au?

Mi nikajua ni vischana vya sekondary wenye hii kasumba ya ufupi urefu weupe na nini!! (Kumbe hata wa mama wa humu)

Anza kujitambua wewe then utapata mwanaume anaejitambua pia, kama huto jitambua usipoteze muda kusubiri
 
Wanawake wa dar wanatafuta wanaume hii inadhiilisha wanaume wa dar hamna kitu.
 
Tega kote kote mkuu, umri unakwenda ati!
37366a1982f7f9093d99f776061abd22.jpg
 
Mbona hijasema jinsia yako? Na wanaume wananyoosha tu vidole kuwa wapo angalieni msije mkaolewa maana ujasiri huo sio wa kike bali wa kiumeni kazuga tu na mpango wa kuzaa soon ... Hahahahaaaaa!
 
Mtoa mada ukifika 40 utakuja na masharti tofauti kama ifuatavyo:
1. Awe na Mbo.o
2. Awe na ndevu
3. Hata akiwa na mke mie nitakuwa mke wa pili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom