Muhongo Kuwekeza 100M za mkopo wa gari kwenye elimu

Amesema ataongezea milioni 10 kwenye milioni 90 ya mkopo wa gari ndio ifike milioni 100. hayo mengine ni speculation tu maana hajayasema.

Hivi unajua majimbo yana mfuko wa kuendeleza na kuboresha shule zake? Huhitaji kuambiwa kila kitu jiongeze mzee
 
Hivi unajua majimbo yana mfuko wa kuendeleza na kuboresha shule zake? Huhitaji kuambiwa kila kitu jiongeze mzee
Mfuko wa jimbo kwa ajili ya kuboresha shule jimboni ni kiasi gani? Na kama zinatosha kufanya hayo yaliyoorodheshwa kuwa yatafanya wa Muhongo, inawezekanaje shule za nchi hii bado duni ikiwa kila jimbo linaweza kufanya maboresho kama hayo (iwe kwa mwaka au kwa awamu moja ya miaka mitano?)
 
Mfuko wa jimbo kwa ajili ya kuboresha shule jimboni ni kiasi gani? Na kama zinatosha kufanya hayo yaliyoorodheshwa kuwa yatafanya wa Muhongo, inawezekanaje shule za nchi hii bado duni ikiwa kila jimbo linaweza kufanya maboresho kama hayo (iwe kwa mwaka au kwa awamu moja ya miaka mitano?)

Say fedha za mfuko Ni Kidogo labda zinaweza jenga/kuboresha shule moja na Muhongo kaja kuongeza 100mil, kipi bora kuongeza shule moja ikamilike au asiongeze kabisa sababu hata mfuko hauna hela? Tuache kulalamika kila kitu safari huanza kwa hatua moja
 
Kwamba 100 ndo shule 4 za kisasa, ufadhili wa wanafunzi, ujenz wa nyumba za walimu, ununuz wa madawat nk.

Acha tusubiri tuone.
 
Waziri Muhongo amesema atawekeza kiasi cha shilingi 100 Milioni kwenye elimu jimboni. Pesa hizo ni shilingi Milioni 90 alizokopeshwa na bunge kwa ajili ya kununua gari pamoja na 10 Milioni alizotoa mfukoni mwake kusaidia jimbo lake. Muhongo alieleza hayo alipokua anaongea na gazeti la The Citizen.


The newly appointed minister for Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo, said he will invest the Sh100 million he was given by Parliament as a loan to purchase a vehicle in the education sector in his constituency.

He told The Citizen on telephone that his decision was prompted by the fact that there was an urgent need to improve the learning environment in his constituency and the nation at large.

He said the office of Parliament had given him Sh 90 million to purchase a new car but he decided to add Sh10 million to fund education for his constituents.

The MP for Musoma Rural said he would want to see the money helping to improve the infrastructure of schools including construction of classrooms, teachers’ houses, libraries, laboratories, buying teaching materials, and purchase of desks as well as support students from poor families.

He went on to say that the fund also would be used to support science students who will be enrolled for university studies, instead of waiting for loans from the Higher Education Student’s Loans Board.

“I want to put more emphasis on education because I believe it is the key to success. The education environment in my constituency is not bad,” he said.

He said that the fund would also be used to construct new four modern secondary schools.

Some Musoma Rural residents commended the decision of their MP. Mr Gaya Masatu said that those were the kind of political leaders needed by wananchi currently as they have a lot of challenges facing them.

Mr Masatu said that leadership was all about to serve wananchi and not to use wananchi as a bridge for political leaders to get their own benefits.


Source: The Citizen
Haya mambo ya kila bunge likianza kupeana mikopo ya magari yakome sasa kama kila bunge unarudi bungeni unapewa mikopo ya magari tu kila baada ya miaka mitano
Si bora yanunuliwe magari ya wabunge yawe wanapewa wakiingia bungeni baada ya miaka mitano warudishe waazimwe wabunge wa bunge lijalo
 
Huyu Si juzijuzi tu kavuta hela za mkopo wa gari alipoteuliwa na JK? Huwa sielewi mtu wa level ya uproffessor anapobeba Wazee wa Mtwara kwenda ng'ambo kujifunza mambo ya gesi, Naona bado anatuletea sarakasi zake. Ukiona mtu mjivuni sana lazima ujiulize mara mbilimbili. Kwa mfano Prof Mark Mwandosya ni gwiji aliyebobea, umewahi WaPo kumsikia akitambatamba ovyo?
 
R
Hapa ni kazi tu na kubana matumizi.
Rais, Mwalimu Magufuli alisema wazi sasa matumizi yasiyo ya lazima hapana. Kununua V8 badala ya Vitara ni atumizi yasiyo ya lazima serikalini.

Imani tuliyonayo kwa Rais Magufuli ni kubwa. Tunamsihi maneno yawe machache vitendo ndiyo viwe vingi. Kama serikali itaendelea kununua magari haya ya bei mbaya basi tutajua kuna utani hapa. Fehda za V8 zielekezwe kwenye elimu, afya na maji.


Hali ya upatikanaji wa maji Tanzania ni ya kutisha. Nilitembea Muheza na Pangani wiki mbili zilizopita. Pangani hakuna maji safi hata sehemu moja, na kuna kipindupindu. Nadhani ndiyo hali halisi Tanzania, baada ya mika 54 ya Uhuru.

Kama Rais aliweza kukataza sherehe za ushindi ili kuboresha afya, naomba sasa akataze manunuzi ya magari ya kifahari na fedha zote zielekezwe kwenye upatikananji wa maji safi.

Umefanya vizuri Profesa Muhongo. Natumaini utapata wafuasi. Na zoezi hili liwe endelevu.

 
Mh. Muhongo mvute kwa Karibu na mh. Mbawala ili akupe support kuifanyia matengenezo ile barabara ya kwenda kwenu majita utakuwa umefanya jambo jema sana.

Maana shule unazowekeza hizo pesa sidhani kama zitafikiwa na maloli yatakayobeba vifaa/malighafi za ujenzi.

Vilevile lile zao la pamba na mahindi huko majita pamoja na maloli ya kukusanyia samaki kuleta mjini musoma sidhani kama yatakuwa na kasi ya kufanya mizunguko wakati barabara ilisahaulika kama vile kule siyo Tanzania.

Kwa taarifa za mapema, mp, Nimrod Mkono alikosea sana wkt jimbo likiwa moja akawa anapendelea huku kwetu kwa wazanaki.
 
Hajui majukumu yake kama Mbunge.
Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo.That means serikali ilitekeleza majukumu yake kisawa sawa. wala hahitaji kutumia fedha zake binafsi kuleta maendeleo jimboni kwake! Poor Muhongo.
#dalali wa Escrow.
 
Prof. Muhongo nakupongeza sana, maana brain nyingi za science zimetoka Majita, kwiramba/iramba ( mwibara) ukerewe, Musoma vijijini , Tarime nk! Shirikiana na wabunge wote mkoani Mara mkuze vipaji vya science kama zamani.
Vipaji vya majivuno tu hakuna impact wee chikaka
 
Milioni 100 ni pesa kidogo sana kutosha hayo yote aliyoyasema labda kama alimaanisha hizo 100 ndio mwanzo wa kutafuta zingine. Maana hizo hata shule moja hazimalizi kujenga hata nusu ya shule moja


Nakubaliana na wewe, inabidi atoe ufafanuzi, shs 100m hazitoshi kwa ahadi na maelezo wanayosema ametoa kupitia hilo gazeti la citizen.
 
Huyu Si juzijuzi tu kavuta hela za mkopo wa gari alipoteuliwa na JK? Huwa sielewi mtu wa level ya uproffessor anapobeba Wazee wa Mtwara kwenda ng'ambo kujifunza mambo ya gesi, Naona bado anatuletea sarakasi zake. Ukiona mtu mjivuni sana lazima ujiulize mara mbilimbili. Kwa mfano Prof Mark Mwandosya ni gwiji aliyebobea, umewahi WaPo kumsikia akitambatamba ovyo?
kubalini mazuri yanayofanywa na msiowapenda.
 
UOTE="Patrickn, post: 14985044, member: 30469"]Ameeleza kwenye link niliyoweka hapo mwanzo. Kifupi kasema zitasaidia kujenga shule nne mpya za sekondari, kuboresha madarasa, maabara, maktaba,kununua vifaa vya kufundishia na kusaidia
Ndugu yangu wewe unaijua hata bei ya mfuko mmoja wa saruji au bei ya bati moja?labda hizo shule nne zitakuwa za majani,labda aongezee na za eskro.











wanafunzi wanaopata nafasi vyuo vikuu wanaopata tabu ya mikopo.[/QUOTE]
Wd
 
Milioni 100 ni pesa kidogo sana kutosha hayo yote aliyoyasema labda kama alimaanisha hizo 100 ndio mwanzo wa kutafuta zingine. Maana hizo hata shule moja hazimalizi kujenga hata nusu ya shule moja
Mkuu una masihara wewe, labda kama unataka kujenga Jangwani sec au Azania sec.
 
Ameeleza kwenye link niliyoweka hapo mwanzo. Kifupi kasema zitasaidia kujenga shule nne mpya za sekondari, kuboresha madarasa, maabara, maktaba,kununua vifaa vya kufundishia na kusaidia wanafunzi wanaopata nafasi vyuo vikuu wanaopata tabu ya mikopo.
Milioni 100 shule nne inawezekanaje?au ulimaanisha nyumba vya madarasa?
 
Back
Top Bottom