Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji kujua mambo kazaa kuhusu kusafiri kutoka Tanzania hadi Uganda nisije nikatapeliwa na wahuni
1.Ni mabasi gani mazuri kwasasa kwa kusafiria kutoka Tanzania hadi Uganda.
2.Je passport ya kusafiria ni lazima? na kama nikisafiri bila passport naweza nikaishia njiani nisiendelee na safari.
3.Je ipi ni njia fupi kutoka Tanzania kuingia Uganda bila vikwazo vingi
Kwasasa nipo mwanza kibiashara lakini baada ya wiki moja napaswa kuelekea Uganda kuchukua mzigo.
1.Ni mabasi gani mazuri kwasasa kwa kusafiria kutoka Tanzania hadi Uganda.
2.Je passport ya kusafiria ni lazima? na kama nikisafiri bila passport naweza nikaishia njiani nisiendelee na safari.
3.Je ipi ni njia fupi kutoka Tanzania kuingia Uganda bila vikwazo vingi
Kwasasa nipo mwanza kibiashara lakini baada ya wiki moja napaswa kuelekea Uganda kuchukua mzigo.