Kutokana na riport ya kamati maalumu kuchunguza mwenendo wa oparation maalumu ya kutokomeza ujangili kufichua uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu ni dhahiri sasa muda wa Mh. Pinda mtoto wa mkulima kuwa waziri mkuu unafika ukingoni, hii imejidhihirisha kutokana na michango ya wabunge mbalimbali na iwapo mh hatajiuzulu atakua amepoteza imani kubwa ya utendani wake kwa wananchi.
wadau!!
Habar za zilizopo ni kwamba moto huu unaoendelea bungeni ni mkakati wa rais wa kuhakikisha pinda anachia nafasi yake hyo ya uwazir mkuu ili mama migiro achue nafas yake.habari za ndani zinasema jk amecheza mchezo huo kwa ustadi mkubwa kuhakikisha bunge hili linampiga wazir mkuu chini ili mama huyo achukue nafs yake.Habar zilizopo ni kwamba jk aliapa na kumuhakikishia migiro lazma ampe nafs ya juu serikalin baada ya kuona nafs ya urais inazid kubana kutokana na mahasimu wake kuchangisha karata zao kumshinda migiro.habari imeendelea kuvuja nikwamba jk amemuhakikishia mama hyo kuwa atampa walau uwazir mkuu hata kwa mwaka mmoja.ikumbukwe jk ni bingwa wa kucheza dili zake kishamba,kama mnakumbuka wakat lowassa akishambuliwa bungeni jamaa alikuwa nje ya nchi anasikilizia kwa mbali,sasa hicho hicho ndo kinachojitokeza kipindi hichi wakat pinda anashambuliwa mh rais nchi za magharibi anasikilizia kinavyonuka huko bungeni,source mtonyaji ndichi magogoni
Jua hata lisizame huyo mtu wamtoe
wadau!!
Habar za zilizopo ni kwamba moto huu unaoendelea bungeni ni mkakati wa rais wa kuhakikisha pinda anachia nafasi yake hyo ya uwazir mkuu ili mama migiro achue nafas yake.habari za ndani zinasema jk amecheza mchezo huo kwa ustadi mkubwa kuhakikisha bunge hili linampiga wazir mkuu chini ili mama huyo achukue nafs yake.Habar zilizopo ni kwamba jk aliapa na kumuhakikishia migiro lazma ampe nafs ya juu serikalin baada ya kuona nafs ya urais inazid kubana kutokana na mahasimu wake kuchangisha karata zao kumshinda migiro.habari imeendelea kuvuja nikwamba jk amemuhakikishia mama hyo kuwa atampa walau uwazir mkuu hata kwa mwaka mmoja.ikumbukwe jk ni bingwa wa kucheza dili zake kishamba,kama mnakumbuka wakat lowassa akishambuliwa bungeni jamaa alikuwa nje ya nchi anasikilizia kwa mbali,sasa hicho hicho ndo kinachojitokeza kipindi hichi wakat pinda anashambuliwa mh rais nchi za magharibi anasikilizia kinavyonuka huko bungeni,source mtonyaji ndichi magogoni
wekeni clip ya "wapigwe"
tujikumbushe ubaya wa pinda.
wadau!!
Habar za zilizopo ni kwamba moto huu unaoendelea bungeni ni mkakati wa rais wa kuhakikisha pinda anachia nafasi yake hyo ya uwazir mkuu ili mama migiro achue nafas yake.habari za ndani zinasema jk amecheza mchezo huo kwa ustadi mkubwa kuhakikisha bunge hili linampiga wazir mkuu chini ili mama huyo achukue nafs yake.Habar zilizopo ni kwamba jk aliapa na kumuhakikishia migiro lazma ampe nafs ya juu serikalin baada ya kuona nafs ya urais inazid kubana kutokana na mahasimu wake kuchangisha karata zao kumshinda migiro.habari imeendelea kuvuja nikwamba jk amemuhakikishia mama hyo kuwa atampa walau uwazir mkuu hata kwa mwaka mmoja.ikumbukwe jk ni bingwa wa kucheza dili zake kishamba,kama mnakumbuka wakat lowassa akishambuliwa bungeni jamaa alikuwa nje ya nchi anasikilizia kwa mbali,sasa hicho hicho ndo kinachojitokeza kipindi hichi wakat pinda anashambuliwa mh rais nchi za magharibi anasikilizia kinavyonuka huko bungeni,source mtonyaji ndichi magogoni