Dah nilirusha remote nilikaribia kuirukia TV, thanks remote ilipunguza ile suden flow ya ardenaline, any way ninachojaribu kuangalia kwa makini hapa ni kuona jinsi Jeshi letu la Tanzania linavyoweza kujifunza kutoka yanayotokea Misri, namaanisha Jeshi la wananchi sio vilaza polisi maana, ningekuwa nan ndoto ya kuwa raisi, ningefukuza wote tu... na kuanza upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.