Kwa mujibu wa taarifa kutoka taasisi za kimataifa za fedha, mkoa wa Mtwara unatarajiwa kuwa na uchumi mkubwa kuliko mikoa yote ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia sasa.Ugunduzi wa gas asilia ndio inaelezwa kuwa kichecheo cha ukuaji huu wa uchumi.