Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
Asalaam/Alaikum,
Rehma na Amani ziwashukie Waislam wote popote walipo. Amin.
Ndugu
Waislam, Nimeona cd inayoonyesha mtu mmoja tena anae jiita Muislam anadai kuwa yeye ni MTUME wa Mwenye ez Mungu na anaowafuasi huko Mkuranga nje kidogo ya Jiji la Dar.
Kwa mujibu wa Wafuasi wake Kiongozi wao amepewa UTUME kwa njia ya Miujiza na wanamkubali na kumtii kuwa ni Mtume wa Kweli, na wanapokea amri kutoka kwake kama Nabii.
Sasa sijui kama vyombo vya Kiislamu wanalijuwa hilo au hawajui, Naomba kwa wanaohusika kama Bakwata ,Mwamsho, Jumuia zote za ki Islamu na Serikali kufuatilia suala hili ili kujuwa ukweli wake kabla mtu huyu hajawakufurisha watu wengi zaidi.
Jina lake anaitwa Mtume ABDALLA SAIDI ,yuko Mkulanga na anao Msikiti wake na watu wake anao waita Masahaba.
Kwa taarifa zaidi wako Masheikh wenye kuumizwa na unafiki huu walimtembelea mtu huyo na kujionea kufuru zao hizo na jinsi wanavyo wapotosha jamii ya Waislamu.kwa taarifa za kweli kabisa waone sheikh NURDIN KISH KISH wa Msikiti ulopo Vetenary, au sheikh,ABDUL WAKATI,wa Msikiti ulipo Mtaa wa Bungoni Ilala dsm. Vile vile unaweza kuzipata cassete na cd za hao Masheikh niliowataja ambao ndio walitoka kwenda kuwaona siku ya Ijumaa pamoja na Maustadh wa Masjid Tungi ulipo Temeke,Dsm pia walikwenda kushuhudia unafiki wa mtu huyo, casete zinapatikana Msikiti wa Mtoro Kariakoo Dsm.
OMBI
Naomba kwa wale watakao bahatika kuzipata cds zao watuwekee kwenye huu mtandao wetu wa zanzinet, https://www.jamiiforums.com na kwenye YOU TUBE ili Dunia iwafahamu na ikiwezekana wakamatwe na waadhibiwe kwa mujibu wa Sheria.
NAKUTAKIENI RAMADHANI KAREEM , AMIN
Rehma na Amani ziwashukie Waislam wote popote walipo. Amin.
Ndugu
Waislam, Nimeona cd inayoonyesha mtu mmoja tena anae jiita Muislam anadai kuwa yeye ni MTUME wa Mwenye ez Mungu na anaowafuasi huko Mkuranga nje kidogo ya Jiji la Dar.
Kwa mujibu wa Wafuasi wake Kiongozi wao amepewa UTUME kwa njia ya Miujiza na wanamkubali na kumtii kuwa ni Mtume wa Kweli, na wanapokea amri kutoka kwake kama Nabii.
Sasa sijui kama vyombo vya Kiislamu wanalijuwa hilo au hawajui, Naomba kwa wanaohusika kama Bakwata ,Mwamsho, Jumuia zote za ki Islamu na Serikali kufuatilia suala hili ili kujuwa ukweli wake kabla mtu huyu hajawakufurisha watu wengi zaidi.
Jina lake anaitwa Mtume ABDALLA SAIDI ,yuko Mkulanga na anao Msikiti wake na watu wake anao waita Masahaba.
Kwa taarifa zaidi wako Masheikh wenye kuumizwa na unafiki huu walimtembelea mtu huyo na kujionea kufuru zao hizo na jinsi wanavyo wapotosha jamii ya Waislamu.kwa taarifa za kweli kabisa waone sheikh NURDIN KISH KISH wa Msikiti ulopo Vetenary, au sheikh,ABDUL WAKATI,wa Msikiti ulipo Mtaa wa Bungoni Ilala dsm. Vile vile unaweza kuzipata cassete na cd za hao Masheikh niliowataja ambao ndio walitoka kwenda kuwaona siku ya Ijumaa pamoja na Maustadh wa Masjid Tungi ulipo Temeke,Dsm pia walikwenda kushuhudia unafiki wa mtu huyo, casete zinapatikana Msikiti wa Mtoro Kariakoo Dsm.
OMBI
Naomba kwa wale watakao bahatika kuzipata cds zao watuwekee kwenye huu mtandao wetu wa zanzinet, https://www.jamiiforums.com na kwenye YOU TUBE ili Dunia iwafahamu na ikiwezekana wakamatwe na waadhibiwe kwa mujibu wa Sheria.
NAKUTAKIENI RAMADHANI KAREEM , AMIN