Jamaa yangu mambo ya kwenye A-TEAM achana nayo kabisa yale ni mawazo ya mtu alikaa na kuamua kutoka na hicho kitu lkn cyo real, halafu movie ya A-TEAM ilikuwa ni mission ya watu wengi na cyo mmoja.Kama wewe ni police basi kwa mawazo yako hayo hukustahili kuwa hata mgambo.ITAKUWAJE mtuhumiwa atake kutoroka wakati huohuo amefungwa pingu na yuko chini ya ulinzi wa polisi???, Hivi mtuhumiwa wa ugaidi kama ule, polisi wanaweza kum guide kama house girl anapompeleka mtoto wa chekechea shuleni????.Umeangalia Prisson Break? Kama bado tafuta movie inaitwa The A-Team uiangalie alafu uje kusoma tena hiki ulichoandika...!
You know nothing about this ----in scandal, its better you keep cool.Kama ni mtuhumiwa fake, basi tupe original unaye mjua ...ahapa polisi wasinge mkamata huyu mtuhumiwa ungekuja na mada kuwa polisi wa zembe hawafanyi kazi zao, kazi kupiga picha za mahaba,wamemkamata unasema fake. Achana na story za vijiweni.
Kwa sababu wameshamhoji watuambie sasa alifanya hayo yote kwa maagizo ya nani? Na ili iweje? Na kwa nini Arusha?
Jamaa yangu mambo ya kwenye A-TEAM achana nayo kabisa yale ni mawazo ya mtu alikaa na kuamua kutoka na hicho kitu lkn cyo real, halafu movie ya A-TEAM ilikuwa ni mission ya watu wengi na cyo mmoja.Kama wewe ni police basi kwa mawazo yako hayo hukustahili kuwa hata mgambo.ITAKUWAJE mtuhumiwa atake kutoroka wakati huohuo amefungwa pingu na yuko chini ya ulinzi wa polisi???, Hivi mtuhumiwa wa ugaidi kama ule, polisi wanaweza kum guide kama house girl anapompeleka mtoto wa chekechea shuleni????.
Ndugu yangu jitahidi uilazimishe akiri yako i behave kama GREAT THINKER na cyo huu upuuzi unaoupost hapa.Unaweza kuniambia kuwa ni njia gani zingine walizotumia police kumdhibiti huyo mtuhumiwa zikashindikana ndo wakaamua kumcharaza risasi, na wakati huo huyo mtuhumiwa alikuwa na siraha gani aliyoitumia kupambana na police?????????????????????????????????????????????????????????.
daaah Amnesty international wako wapi jamani?
Polisi wana hasira sana na waislam hata polisi akiwa muislam hawajali waislamu wenzie.
Hivi ukiwa muislamu ndo uachiwe uwe unafanya mauaji kwa watu wasiokuwa na hatia,halafu usimtete muhalifu kwa sababu tu ni muislamu,uliza Boko haram wanafanya nini Nigeria,halafu uliza je wale wanaouwawa ni wakristo tu au wengine wanauawa
Haya maneno ungemueleza Mbowe aliyekalia ushahidi wa walipuaji wakati kuna watanzania wenzetu walikufa bila hatia. Na vyombo husika vinahangaika kuwapata wahusika wakati Mbowe ana ushahidi na amekaa kimya.
Mkuu.
Nilihitaji Cheo cha huyo polisi mthibitishaji eg Kamanda wa polisi mkoa/wilaya maana ndo utaratibu wa taarifa za kipolisi.
Anyways siyo kesi mkuu nimeshapata from another source.
Mkuu yawezekana haufahamu, mtuhumiwa anaposafirishwa kwenye chombo chochote cha usafiri haruhusiwi kufungwa pingu, ukiona kafungwa atakuwa hajui haki zake.
Sasa jana jambazi sugu,na mhusika wa milipuko ya mabomu amefanikiwa kuruka na kukimia na kuwaacha polisi wakatumia risasi kumuua! Maana mjalifu hawezi kubebwa bika pingu labda kama hatari kwa wananchi!
huyu bwana YAHYA HASSANI ameuawa leo wakati polisi wakimpeleka KONDOA nyumbani kwao akawakabidhi bomu 1 alilokuwa amelificha huko kwao, polisi wanadai kuwa amekiri kuhusika na milipuko yote nchini na pia kuwamwagia viongozi wa DINI tindikali, pia ni yeye aliyelipua mkutano wa chadema soweto
Ukishapata cheo chake.
Tatizo ni ngumu sana kuamini maneno ya upande mmoja. Kwa kuwa mtuhumiwa amefariki bila kufikishwa mahakamani then polisi wanaweza sema chochote. Huwezi labda jamaa hakuwa na hatia.