wana jf kunawatu wengi wanakuwa wagumu kweli kusema huyu ni mke wangu au nimume wangu wanasema jamaa yangu anawivu au jamaa yangu hayupo home tuonane jion wanashindwa kutoa utambulisho
Unapoanzisha thread au kupost topic jaribu kuandika kama msomi. Elezea vizuri ili hata mtu ambaye hana elimu ya kutosha aweze kuelewa unamaanisha nini.
Pia nakushauri uwe unaanzisha thread zenye maana na mantiki maana nimeona thread zako nyingi hazina maana wala mantiki yoyote. Angalia usije ukajikuta unajifedhehesha na kujizalilisha kutokana na thread na post zako badala ya kufurahisha na kuelimisha na kuelimisha jamii. Kama nitakuwa nimekuudhi kwa haya niliyoyasema naomba uniwie radhi
Unapoanzisha thread au kupost topic jaribu kuandika kama msomi. Elezea vizuri ili hata mtu ambaye hana elimu ya kutosha aweze kuelewa unamaanisha nini.
Pia nakushauri uwe unaanzisha thread zenye maana na mantiki maana nimeona thread zako nyingi hazina maana wala mantiki yoyote. Angalia usije ukajikuta unajifedhehesha na kujizalilisha kutokana na thread na post zako badala ya kufurahisha na kuelimisha na kuelimisha jamii. Kama nitakuwa nimekuudhi kwa haya niliyoyasema naomba uniwie radhi
@younger-master
labda sio msomi!
@younger-master
labda sio msomi!
@ Young_Master, umesema vema kama ana masikio ya kusikia atakuwa kakusikia!
Tobaaaaaaaaa!.. Are you serious??? Atakuwa mtoto sio ri......zi.....ki au??? Mbona huwa anajifanya wakike??? Kweli dunia ina mambo...lolHiyu jane000 ana Id nyingine ila tunamstahi tu na ni mwanaume kabsaa ila hana aibu
Ndio hivyo...na hapa akiona tunamzonga na maneno ndo haji tena hadi badaee jukwaa jingineTobaaaaaaaaa!.. Are you serious??? Atakuwa mtoto sio ri......zi.....ki au??? Mbona huwa anajifanya wakike??? Kweli dunia ina mambo...lol
@younger-master
labda sio msomi!
Pengine inawezekana. Maana mambo anayoyafanya hata mimi siyaelewi
@ Young_Master, umesema vema kama ana masikio ya kusikia atakuwa kakusikia!
Au ndo mwanaasha?
Hiyu jane000 ana Id nyingine ila tunamstahi tu na ni mwanaume kabsaa ila hana aibu