Jamani mtoto wa Osama ana kosa gani? Huyu mbona alishatangazia ulimwengu kuwa hapendi itu ananyofanya baba yake!!! Ndiyo maana yuko uingereza anaishi bila shida ma mke wake muingereza. Au ni mwingine?
damu nzito kuliko maji,ila ameona babake anafanya upuuzi akampotezea nampongeza sana,
si kama watoto wa mjini wanavyoshirikiana na baba zao kwenye ufisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.