Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 441
mwanangu wa kike ana miezi nane na nusu, tatizo lake kubwa ni kuwa hataki kula kabisa, inaweza kupita hata siku 2 kila tukimpa uji au chakula kingine analia sana kiasi tunaamua kumwacha lakini maziwa ya mama yake ananyonya bila matatizo. Naombeni ushauri wenu madaktari na wengine kwa uzoefu wenu tufanye nini kumuongezea apetite mtoto wetu. tunashukuru kwa ushauri wenumtakaotupatia