mpwa leo umeamka na sisi! hahahahaha
bia tutaendelea kunywa!
halaf hayo machupa wameyashika kitaalam kweli! hapa wazee inabidi wafanye kazi ovataim azawaizi bar ziongezwe. huo mchupa wa juu ni ekstra laji (XL), ukiumaliza ,mara ukiulizwa jina lako unataja la mkeo. khattar kubwa hii!
Inaelekea wakikua watafungua bar