Mtoto mmoja kule kijijini alikuwa amepewa chakula na mama yake. Chakula chenyewe kilikuwa wali sasa mama akamsikia mtoto wake analia akamuuliza kwanini unalia mtoto akamwambia naomba chakula. mama yake kama kawaida akamwongezea ili mtoto ale ashibe na kusaza lakini baadaye mtoto akaanza kulia tena. mama akamuuliza kulikoni mtoto akajibu mama tumbo uma huku akiendelea kula! Ulafi nooma!