Familia nyingi kati ya zile ambazo nimebahatika kuzitembelea. Kama familia hiyo kuna watoto wenye umri kuanzia miaka 3 up to 5,pindi wanapomaliza kula chakula cha mchana utaona baba au mama anawaambia watoto wakalale. Swali langu ni kwamba KUNA SABABU GANI YA MSINGI KUWALAZIMISHA WATOTO WALALE MCHANA. Wahusika au wenye ufahamu na hili naomba wanisaidie